Jamani makamba na chili wameingia JF nini? Mbona hamumpongezi mzee six kwa kuhutubia umati mkubwa?
Kaka Sikonge
Ulionekana na baiskeli yako ukiwahi huo mkutano, eti alisema nn?
Muhimu ni kaongea kitu gani?ndo point
Brother Six naona yuko kazini akijisaisha kwa maji ya Tabora kutoka bwawa la Igombe.
kila la kheri kaka'angu. Ila sasa na wewe lazima ufahamu kuwa kwa sasa wanakuwinda sana jamaa ili waonyeshe kuwa wewe ni MWENZAO. Upunguze au uache vidogodogo maana watakukamata huko na kumwaga Urambo yote picha zako ukila URODA. Tunaweza samehe kuwa ulikuwa hela CDA na kudanganya dawa za dola elfu........
Mengine yote yatategemea wewe. Kuhutubia UMATI wa Wanyamwezi si BIG deal na hasa kama wameahidiwa kitu kidogo wale wapambe. Sijui Redio ya Rage ilimsaidia kuutangaza huu mkutano? Na uzuri/ubaya wa Tabora huwa EVENT kama hizi ni za nadra sana. Sas akija SIX na kutangaza MKUTANO, watu kibaoo maana walau wakajionyeshe na wao wamenunua vinguo vikali siku hizi au wanaendesha......
Sitta sio hapendeki kiasi hicho lakini wananchi wamekusanyika kumpongeza kwa ujasiri wake wa kupambana na mafisadi, kwa hio watu wanapaswa kujua kuwa umati huo ni wa kupongeza na kumuunga mkono na sio kusikiliza atasema nini pekee
Acha ujinga hapa alikuwa anafungua tamasha la Injili,kama ujuavyo siku hizi katika matamasha wajinga ndio hujazana hivyo ndivyoilivyokuwa!Sitta sio hapendeki kiasi hicho lakini wananchi wamekusanyika kumpongeza kwa ujasiri wake wa kupambana na mafisadi, kwa hio watu wanapaswa kujua kuwa umati huo ni wa kupongeza na kumuunga mkono na sio kusikiliza atasema nini pekee
Acha ujinga hapa alikuwa anafungua tamasha la Injili,kama ujuavyo siku hizi katika matamasha wajinga ndio hujazana hivyo ndivyoilivyokuwa!
Ni muhimu kujua ameongea nini...suala si kupongeza tu!
acha ujinga hapa alikuwa anafungua tamasha la injili,kama ujuavyo siku hizi katika matamasha wajinga ndio hujazana hivyo ndivyoilivyokuwa!
mjinga mwenyewe! Yaani sisi tuliokuwa pale unatuita wajinga! Ebo!
Mimi nilikuwepo kwenye ule mkutano pamoja na watu wengi tulio na akili kuliko huyo anayejiita MtanzaniaRaia. Inakuwaje aseme mikutano kama hiyo huhudhuriwa na watu wajinga! Moderators inabidi wadhibiti watu wa aina hii wanaoingia humu kutukana watu wengine.