Mkutano wa Pongezi kwa CHADEMA

Mkutano wa Pongezi kwa CHADEMA

wakitoka hapa wanaenda mikoa ya pwani ili kuondoa kasumba ooooooooh chadema haikubaliki mikoa ya Pwani...


Pia inabidi mikoa ya kusini, lindi, mtwara. Mikoa mipya isisahaulike katika movement for change.

Kimbunga cha operation sangara kilionekana mwaka 2010, sasa M4C 2015 PATAKUWA HAPATOSHI.
 
Naomba cdm waandae mkutano hapa dar ili tujipongeze cdm na tumpongeze kijana wetu nassari. Tupo tayari kuchangia gharama zitakazojitokeza.
 
..Nimefuatilia ofkoz. Sasa nini kimekufanya umwamini just kwa kusema yupo tayari ? Ni sawa na kuamini kuwa yule jambazi alikuwa anaangalia TV saa 10 alfajiri , eti wezi wakaingia na kuiba mabegi yaliyojaa fweza , na mabling bling yake na kuacha SMG na pistol !!!

Nawajuwa vizuri sana kaka, ni vigeugeu wazuri sana hawa. Nimemwambia simwamini na magamba wote hawaaminiki, nikamtaka ajitokeze kwenye mkutano wa hadhara ayaseme haya mbele ya kadamnasi akasema yupo tayari. Hebu fatilia mazungumzo yetu mkuu!
 
Tunashukuru Mwigulu ulitushinda Igunga tumelipa Arumeru. At least wewe unajua siasa huyo mpuuzi Lusinde mwambia asome kwanza siasa inataka elimu sio kuropoka kama juha

acha wale tena ban ,nilikua natumia ID name Matola..watakua wamenionea ila dukuduku langu la kusherehekea ushindi nishalitoa hureeeee...
Mkuu huwa sipendi mzaha kwenye masuala ya msingi......nakushauri futa hii post yako au ID hii iwe merged kwenye ban.
 
Umeonyesha ukomavu wa hali ya juu, japo rohoni una maumivu ya hali ya juu.
Usiwe unakubali kichwa kichwa kuwa meneja wa kampeni mkuu. Siku nyingine utajikuta umetimua vumbi jimbo nzima ukaambulia sifuri
Hongera CHADEMA, HONGERA MHE JOSHUA NASARI MB ARUMERU MASHARIKI CHAGUO LA WAMERU. KWA NIABA YA TIMU YA KAMPENI YA CCM NAKUPONGEZA KWA RIDHA ULIOPEWA NA WANAARUMERU.
 
thx god tunaamini hata sisis ipo siku utatuondolea hwa mafisadi kwenye jimbo letu
 
Uliupataje ubunge wa Iramba wewe?
Wananchi wa Iramba wanasema hawana mbunge, kuna kijana mmoja mzinzi tu.
Kijana aachwe afanye kazi, Arumeru inachangamoto nyingi sana za msingi. Japo na jimbon kwangu kuna changamoto Arumeru kuna la ziada tatizo la ardhi sasa yakianza mambo ya mahakaman tutawanyima wameru matarajio yao kufikiwa
 
Haya ndiyo maneno sasa. Achana na mambo yakusema mahakama, maana source za kesi mahakamani ni nyie magamba
Mimi leo hata uniletee kombati na skafu ya CDM naivaa tu kuonesha fair play. Tumesema mengi na uchaguzi umefanyika ni uungwana kushindana majukwani lakini kuheshimu uamuzi wa watu walioufanya kwa kusimama kwenye jua kupiga kura.
 
inapendeza sana na inatia matumaini siku moja na siku hiyo aiko mbali tutapata uhuru upya ongeraaa sanaaaa cdm
 
Viongozi wastaafu wasishirikishwe ktk siasa !maana sijui Mkapa anajisikiaje kwa sasa!Siasa ya sasahivi ni nguvu za hoja sio umaarufu wa mtu!Mwanza tumeona mh Sita alipopata aibu pi
 
Bila kujali mvua, radi na bwebwe za polisi, vijana, wamama na wababa kutoka pande mbalimbali za Arumeru, Arusha na maeneo jirani wamefurika Leganga. Nacho jiuliza je kama magamba wangeshinda, watu wangejitokeza namna hii?
 
Hizo tarehe kwenye picha zimekaaje? Wasije watu wakadhani umechakachua.......
 
2mepigwa na mvua ila matarajio yetu yamefanikiwa,hongera nassari
 
Back
Top Bottom