Mkutano wa Pongezi kwa CHADEMA

Mkapaaaaaa uko wapi sasa mbona hujamuapisha sioi afu jamaa aikuwa tunapeleka mteja wa ombe za kienyeji bungeni yule mungu ameakataaaa waallah
 
Hii ndio mimi nataka, Hii ni sawasawa. sawa le, sawasawa sawa le. Arusha korokocho. Wale mabonge wa CCM watajiju.
 
Hawa jamaa kiboko hata igunga walishinda lakini wangese wakachakachua mwisho hawa majambazi aka mafisadi ndio unakaribia chadema ongereni sana kwa ushindi wa jushua
 
yaani ninapoona hizi picha napata faraja sana! all the best makamanda na kesho naanza kutafuta kadi haraka sana!
 
Nipo Ar tangu Ijumaa, nimeshuhudia mwamko usio wa kawaida hapa ambao sijauona sehemu nyingine yeyote Tz. Nimejifunza na kuwaona wanamapinduzi wa kweli Ar. They are very serious with what they are believing and doing. Kwa gharama yeyote pasipo kusukumwa na mtu wanajitoa ku-support CDM. Wako tayari kutembea kwa miguu umbali mrefu ku-support chama, kujitolea vyombo vyao vya usafiri, kuacha kazi zao n.k. Nimefika mahali pa kuona kuwa Ar itakuwa ni kiini cha ukombozi wa Tz toka makucha ya unyonyaji na ufisadi wa CCM. Ukiwa hapa you are proud to be CDM na ni aibu kuwa CCM. Laiti Wa-Tz wote wangekuwa hivi. Big up watu wa Ar.
 
Nipo Ar tangu Ijumaa, nimeshuhudia mwamko usio wa kawaida hapa ambao sijauona sehemu nyingine yeyote Tz. Nimejifunza na kuwaona wanamapinduzi wa kweli Ar. They are very serious with what they are believing and doing. Kwa gharama yeyote pasipo kusukumwa na mtu wanajitoa ku-support CDM. Wako tayari kutembea kwa miguu umbali mrefu ku-support chama, kujitolea vyombo vyao vya usafiri, kuacha kazi zao n.k. Nimefika mahali pa kuona kuwa Ar itakuwa ni kiini cha ukombozi wa Tz toka makucha ya unyonyaji na ufisadi wa CCM. Ukiwa hapa you are proud to be CDM na ni aibu kuwa CCM. Laiti Wa-Tz wote wangekuwa hivi. Big up watu wa Ar.
Karibu sana mkuu mbona huja tujulisha wenyeji mkuu....naomba ubadilishe rangi ya maneno haya: Big up watu wa Ar
 
Mii naogopa hizo pongezi za ccm. Hila na ulafi bado upo ndani ya pongezi hizo. Hakuna cha kuficha magamba bado wanaumizwa na ushindi wa chama cha wtz yaani CDM. Kama ni hila shauri zao nchi tunachua
 
Hongera sana Nasari,hongera sana CHADEMA na hongera sana kwa wapenda mabadiliko pote Tanzania.Tunahitaji kujipanga vizuri kwa kuchukua dola 2015.
 
Hongera sana Joshua, aa nimekumbuka Joshua wa Biblia... Umekabithiwa Fimbo aisee wafikishe wana Arumaru nchi ya ahadi!!! kazi ni kwako!! tuko nyuma yako tukikutia moyo mkuu. Usiogope kwa umri wako mdogo utakapokaa na watu wenye mvi wanaonngea wakiwa wamevaa miwani puani wakichungulia kwa juu! Mungu aliyekuvusha hapa yuko na wewe daima.

Pongezi kwa makamanda wote walioshiriki katk kampeni bila ninyi tusingekuwa tunasema haya tunayosema sasa wala fuaraha na faraja hii isingekuwepo Mh Mbowe, Dr Slaa, Mh Nyerere na Timu yako Pongezi sana.

Aisee dogo amekuwa maarufu ndani ya mwezi mmoja!! Nchi nzima sasa injua Nassari ni Nani!! Big UP!! Hata Mbingu zinaona na kushuhudia. Usituangushe, usiangushe wanArumeru, Usiangushe waTanzania, Usiangushe wanaChadema!! Kazi ni kwako.

Sasa waTanzania wametambua kuwa inawezekana kabisa kupigana na akina Lowassa na Ben Mkapa na kuwaangusha!! BEHOLD IT IS POSSIBLE

VIVA CDM!!!!! VIVA WANAMAPINDUZI!!!
 
This is very inspiring. Thank you photographer
Wakuu kutakuwa na mkutano wa kuwapongeza wanaarumeru kwa uamuzi awo wa kuchagua Chadema na kukikataa CCM, kuchagua haki na kukata dhuluma, kuchagua Mungu na kukataa pesa chafu, kuchagua mabadiliko nakukataa mfumo kandamizi. Watakuwepo viongozi wakuu wa Chadema kitaifa kadhalika Mbunge mteule wa Arumeru Mashariki.

Naomba kuwasilisha! Update baadaye.

Joshua Nassari apokelewa kwa vifijo na nderemo ni kwenye uwanja wa Leganga...
wana Arumeru wasema Jini CCM limewatoka
CCM wakimbia saa saba ya usiku kwenda Dar Es Salaam
Wanaarumeru wamtafuta Lusinde bila mafanikio
View attachment 50813
View attachment 50814
View attachment 50815
View attachment 50816
View attachment 50817
View attachment 50904
View attachment 50905
View attachment 50907
 

Video kwa hisani ya Tangibovu wa youtube Apr 2 , 2012
 
Last edited by a moderator:
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom