AminiaKama kusikia huwezi, na picha huoni??? Mwaka huu kuna watu watahama nchi.
Hamjambo na karibu katika Uzindizi wa Kampeni za Mgombea Urais kwa Mkoa wa Kigoma leo hii.
Kuna maandalizi ya kina kila mtaa hapa Mjini Kigoma wanazungumzia Ujio wa Lowasa na Ukawa.
Karibu
======
Mgombea anatarajiwa kuwasili Mjini Kigoma Majira ya Alasiri akitokea Kijiji cha Kagunga wilaya ya Kigoma na Mkutano huo utafanyika katika uwanja wa Community Center Manispaa ya Kigoma Ujiji.
Pipooooz?
N ndoto lowasa kuingia ikulu n ndoto kubwa sana
Kama kusikia huwezi, na picha huoni??? Mwaka huu kuna watu watahama nchi.