nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
haa haa hao wamesombwa na magar toka burundi?
Kama kusikia huwezi, na picha huoni??? Mwaka huu kuna watu watahama nchi.
N ndoto lowasa kuingia ikulu n ndoto kubwa sana
CCM this is to little too late, eti mkuru anasema huu ni moto wa mabua, time will tell
Kama kusikia huwezi, na picha huoni??? Mwaka huu kuna watu watahama nchi.
N ndoto lowasa kuingia ikulu n ndoto kubwa sana
Nakala aipate zito na genge zima la wasaliti na mafisadi.
Mtaisoma Lowassa ndio uhai wenu.
ndio mujiulize hamjui mnamfata tu.. sold your souls to devil.
Keshafika kigoma tayari?
Hahahaha chadema hawanaga hizo, CCM ndo zao wanawabeba jimbo moja had lingine
Huyu jamaa ana nyota ya chipsi mayai maana inapendwa sana. Hahahahahaaaaa
Zitto ameamua kumuunga mkono slaateh teh teh..
maccm na Zitto sijui watajificha wapi na hii aibu.....