Hamjambo na karibu katika Uzindizi wa Kampeni za Mgombea Urais kwa Mkoa wa Kigoma leo hii.
Kuna maandalizi ya kina kila mtaa hapa Mjini Kigoma wanazungumzia Ujio wa Lowasa na Ukawa.
Karibu
======
Mgombea anatarajiwa kuwasili Mjini Kigoma Majira ya Alasiri akitokea Kijiji cha Kagunga wilaya ya Kigoma na Mkutano huo utafanyika katika uwanja wa Community Center Manispaa ya Kigoma Ujiji.
Pipooooz?
Waambie huyo mamvi hana jipya
ndio mujiulize hamjui mnamfata tu.. sold your souls to devil.
Wewe kagawe papuch kwa mazombie wenzio ccm. Hapa ni kwawanaojitambua tu
Hiyo ni kweli mkuu vidio yake ninayo .na ile ya songea ambayo wanaCCM walijibu kuwa rais wao ni LOWASA.Lowassa amekimbia mita 40 akiiwahi helcopter pale Katavi , amepunua uzito na amekua fiti kinoma .aibu yao aibu yetu? huu ni mwaka wa shetani kwa gambas
Shida ni mwaka uliozaliwa. Wenzio tunaoenda kupiga kura mara ya 5 kuna tulichojifunza hapo awali. Japo vichwa vilikuwa vizito, lakini si vizito kiasi cha kutoelewa mara zote 4
Teh teh....nimecheka sana! Asubuh to asubuh lolccm wameshikwa pabaya ndomana nimewahama maana wameanza hila na unafiki. Wanahaha sana kwanjia zote na wizi wote ili wapone na dhoruba la LOWASA
cc
mr chin(muajiriwa rasm ilikumchafua lowasa mitandaoni toka asuhuhi hadi asubuhi)
Kama kusikia huwezi, na picha huoni??? Mwaka huu kuna watu watahama nchi.
Waambie huyo mamvi hana jipya
Kama kusikia huwezi, na picha huoni??? Mwaka huu kuna watu watahama nchi.