Mkutano wa Lissu waahirishwa Ukerewe, figisu zatajwa

Viongozi wa dini wa Tanzania Sina maneno yanayotosha kuelezea chuki yangu dhidi yenu nampenda sana shetani kuliko viongozi wa dini wabtanzania. Except mwingira shekhbponda mwamakula na BAGONZA kutia ndani shoo.
Sasa hata ukiwa chukia unawasaidia nini mtu mwenyewe hata sadaka hutoagi
 
Leo jumamosi 26.9.2020, mgombea Urais kupitia CHADEMA, mhe. Tundu Lissu alitarajia kufanya mkutano mkubwa jimbo la ukerewe kwenye viwanja vya stendi mpya mjini nansio.

Umati mkubwa wa watu ulijotokeza kwenye viwanja hivyo kumlaki na kusikiliza sera zake ambapo kwa mujibu wa ratiba ulikuwa ufanyike saa tatu asubuhi.

Mpaka saa sita mchana, mgombea huyo wa kiti cha Urais alikuwa bado hajafika jimboni ukerewe akitokea wilayani bunda. Ikumbukwe baada ya kuchelewa kufika asubuhi ilitarajiwa atafika saa sita na nusu mchana.

ilipotimu mishale ya saa saba na nusu mchana akizungumza na umati mkubwa wa watu uliojitokeza, mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema, ndg. Sijaona james karoli alieleza sababu za kuhairisha mkutano huo huku sababu ikitajwa kuwa ni figisu kwenye kivuko cha ferry kati ya bunda na ukerewe.

"Ndugu zangu wana ukerewe, mheshimiwa Rais mtarajiwa hatofika kwenye mkutano huu kutokana na ferry kuamriwa kuondoka kabla ya muda na walipofika ng'ambo waligoma kumuijia" aliongeza.

baada ya kueleza sababu hizo za kuhairisha mkutano, mbunge huyo amewasihi wananchi waliojitokeza kutawanyika huku mkutano huo ukisogezwa mbele.

"makamanda leo mkutano hutofanyika badala yake mheshimiwa Rais mtarajiwa amehaidi kufanya mikutano mitatu mikubwa katika jimbo letu siku ya tarehe 7 na atatumia usafiri wa ndege(chopa) badala ya ferry hivyo nawasihi mtawanyike kwa amani" alimaliza.
Wasije wakasababisha meli ya maelfu ya watu kuzama sababu ya Lissu
 
Bora apande ndege kuliko hivyo vivuko. Ni hatari kwa usalama wa mh Rais mteule. Wanweza kuzamisha kivuko ili afe ziwani ht km watakufa raia wengine
Hata mimi hili nimeliona hawa jamaa hawashindwi kuzamisha meli hata waty 1000 angalau Lissu afe lwao ni faida.
 
Sawa tu. Kamanda lissu ahsubuhi ya leo alikutana na wana habari. Tumwache apumzike kidogo. Leo na kesho. Jumatatu mchakamchaka kama kawa

Niyeye2020
Hata mimi napenda apumzike kidogo jama anapiga kazi si mchezo. Safari kila siku barabarani wiki ya tatu sio mchezo
 
Madhara ya Mbowe kura pesa za kampeni. Hamna hela ya kukodi Chopa.
Mgombea urais wa maccm hana tofauti na gari la kubebea mkaa.
Tripu moja shamba kufuata mkaa
Tripu ya pili gereji

Unaposhabikia dhulma miaka 5 na kushabikia watendaji wa dhulma; na ukikalia kimya maiti kuokotwa kwenye viroba, wananchi kutekwa na kupotea, watu kubambikiwa kesi, biashara za watu kufungiwa - basi ujue umekosa uhalali wa kuongelea amani
 
Leo jumamosi 26.9.2020, mgombea Urais kupitia CHADEMA, mhe. Tundu Lissu alitarajia kufanya mkutano mkubwa jimbo la ukerewe kwenye viwanja vya stendi mpya mjini nansio.

Umati mkubwa wa watu ulijotokeza kwenye viwanja hivyo kumlaki na kusikiliza sera zake ambapo kwa mujibu wa ratiba ulikuwa ufanyike saa tatu asubuhi.

Mpaka saa sita mchana, mgombea huyo wa kiti cha Urais alikuwa bado hajafika jimboni ukerewe akitokea wilayani bunda. Ikumbukwe baada ya kuchelewa kufika asubuhi ilitarajiwa atafika saa sita na nusu mchana.

ilipotimu mishale ya saa saba na nusu mchana akizungumza na umati mkubwa wa watu uliojitokeza, mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema, ndg. Sijaona james karoli alieleza sababu za kuhairisha mkutano huo huku sababu ikitajwa kuwa ni figisu kwenye kivuko cha ferry kati ya bunda na ukerewe.

"Ndugu zangu wana ukerewe, mheshimiwa Rais mtarajiwa hatofika kwenye mkutano huu kutokana na ferry kuamriwa kuondoka kabla ya muda na walipofika ng'ambo waligoma kumuijia" aliongeza.

baada ya kueleza sababu hizo za kuhairisha mkutano, mbunge huyo amewasihi wananchi waliojitokeza kutawanyika huku mkutano huo ukisogezwa mbele.

"makamanda leo mkutano hutofanyika badala yake mheshimiwa Rais mtarajiwa amehaidi kufanya mikutano mitatu mikubwa katika jimbo letu siku ya tarehe 7 na atatumia usafiri wa ndege(chopa) badala ya ferry hivyo nawasihi mtawanyike kwa amani" alimaliza.
Uongo ni sehemu ya maisha yenu
 
Bora apande ndege kuliko hivyo vivuko. Ni hatari kwa usalama wa mh Rais mteule. Wanweza kuzamisha kivuko ili afe ziwani ht km watakufa raia wengine
Anaumwa ana ED ndege za kukodi mwanza ziko kibao angeziita tu taarifa ni kuwa anaumwa yuko hoi
 
Nafikiri Lissu kashaweka msingi mzuri sana kila mkoa sasa aende level nyingine tumchimbie mtu moja kwa moja.
Mtu mzima akienda kunya porini kijijini husingizia anaenda porini kuangalia mitego yake kama kuna mnyama kanasa

Lisu anaumwa tena sana kapewa ED

La kusingizia Ferry ni uongo
eti mheshimiwa Raisi mtarajiwa
Jamani nimecheka sana
Viongozi wa dini wa Tanzania Sina maneno yanayotosha kuelezea chuki yangu dhidi yenu nampenda sana shetani kuliko viongozi wa dini wabtanzania. Except mwingira shekhbponda mwamakula na BAGONZA kutia ndani shoo.
 
Siamini makamanda walishindwa kuogelea, kwani kivuko nini bwana??
 
Hahaha Eti mh Rais mtarajiwa.,...
Kupata vichekesho hivi andika neno chadema kisha reli hahahahahahahahah
 
MTU anapumzika chadema wanasingizia ferry mmmmmm !!
Hajapumzika alifika mpaka kivukoni kwa lengo la kuvuka lakini katika mazingira yasiyo ya kawaida siku ya leo kimeondoka mapema kabla ya muda unaotakiwa. Amesema mgombea ubunge
 
Back
Top Bottom