Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,334
Neti za USAID huzijui wewe zile ukilala ndani yake unapumua kwa shida ukipitisha mguu unapigwa shoti 😝😝😝Toka waanze kutokomeza kipi wamefanikisha
Neti za USAID huzijui wewe zile ukilala ndani yake unapumua kwa shida ukipitisha mguu unapigwa shoti 😝😝😝Toka waanze kutokomeza kipi wamefanikisha
Papua new GuineaUtaambiwa ndio tamaduni zenye nguvu
You have a good eye! its worrisome to say the least!Whats wrong with Bill Gates he is getting frail and he is age mate with jakaya.
With all the money he should go under the knife
Mh, naona tajiri kuliko wote ndiye mwembamba kuliko wote,,,,Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Mfalme wa Eswatini Muswati pamoja na Bill Gates
wakati wa Mkutano wa Baraza la Kutokomeza Malaria Duniani uliofanyika jana mjini New York, Marekani. #KwanzaHabari
View attachment 1216756
With JK no doubt we can expect a robust participation; anaweza kuflow vizuri sana sio kama kina Njalahh; kwikwi tupu!Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Mfalme wa Eswatini Muswati pamoja na Bill Gates
wakati wa Mkutano wa Baraza la Kutokomeza Malaria Duniani uliofanyika jana mjini New York, Marekani. #KwanzaHabari
View attachment 1216756
Kumbe umo na humu? Nilijua upo kwenye German Sherphard tuHiyo suti amekuwa kama katundikwa vile
Hivi akisalimiana na angel makel mambo yanakuwaje au yeye mashine haifanyi kaziHuyu walimkataa nini? View attachment 1216833
Mungu angemuongoza kikwete mwaka 2015 angefanya marekebisho ya katiba awe rais asie na kikomo,Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Mfalme wa Eswatini Muswati pamoja na Bill Gates
wakati wa Mkutano wa Baraza la Kutokomeza Malaria Duniani uliofanyika jana mjini New York, Marekani. #KwanzaHabari
View attachment 1216756
Kwahiyo juhudi zote hizi lengo ni kuwanyima mbu riziki?
Kumbe King Muswati akienda huko duniani anaacha kuvaa zile khanga zake
Kulikuwa na mikutano mingi wiki hii huko naviongozi wa mataifa walikuwa wanakutana Rwanda MZEE Kagame Kenya Uhuru walishiriki mambo ya kimaendeleo nilijisikia vibaya kwa Tanzania kuwa kimya
Neti za USAID huzijui wewe zile ukilala ndani yake unapumua kwa shida ukipitisha mguu unapigwa shoti
Hata Mpoto huwa ana vaa Mdundo...Kumbe King Muswati akienda huko duniani anaacha kuvaa zile khanga zake
Neti za USAID huzijui wewe zile ukilala ndani yake unapumua kwa shida ukipitisha mguu unapigwa shoti