Mkutano wa Jangwani Mei 26: Polisi walumbana na CHADEMA!

Jeshi la Polisi hawaoni aibu kutumia neno 'intelligensia? What intellegensia? Huu ni uchovu.
Kwanza nani anahitaji ulinzi wa hawa polisi? Wakae nyumbani waone kama hata mende atakanyagwa.

Hawa polisi ndio tumeambiwa na mkurugenzi mkuu wa NIDA kwamba kiasi cha 700 hivi kwamba wameajiriwa huko kwa vyeti bandia.
Sasa hapa wanaendeleza tabia yao ya kujipendekeza kwa ccm badala ya kusimamia sheria na weledi.
 
Huo ndio wakati wa wananchi dar kuonyesha mnataka change tunasubiri kuwaona kwenye ITV mkifunika ule wa hapa Arusha
 
Tanzania, yaani imefikia kutembea kwa mguu kwenda upendapo wewe ni kosa. Maajabu ya kuogopa kivuli. Sasa kateni miguu ya watu isifanye kazi. Je mtu akikutwa anatembea kwa mguu kuelekea jangwani atashitakiwa kwa kosa gani? Tanzania! Tanzania! nakupenda kwa moyo wote! na popote niendapo nakuota wewe!
 
Na CDM wakiback down wamekwisha; wawalazimishe polisi kufanya kazi yao - kutoa ulinzi.

Mzee Mwanakijiji , cdm walifanya hivyo Arusha, polisi badala ya kuifanya kazi yao, wakageuka "watoa roho!" na waliokufa walikuwa wanachama wa cdm. Kwahiyo lazima wachukue tahadhari maana mauaji ya wana cdm yanafanyika hadharani na hatua hazichukuliwi. Maoni yangu ni kwamba, tupambane huku tukijilinda maana iyo siyo woga, ni utaalamu wa kivita!
 
Wakiambiwa wanafanya kazi kwa kufuata siasa wanakasirika. Hivi ni mara ngapi CCM wanafanya the so called "matembezi ya mshikamano", intelejensia huwa inaenda wapi wakati huo?
 
Baadhi ya viongozi dhaifu kimawazo wa jeshi la polisi ndio wanajenga tabia ya wananchi kuzidi kulidharau,kutoliheshimu na wala kuto ogopa jeshi la polisi kwa matamko yaliyopitiliza ki udhaifu wa fikra,sijui ni uwezo wa kufikiri mdogo au nini,wanafanya bila kujijua kua mambo wanayoyafanya ndio yanazidi kukidhoofisha chombo hicho kwa wananchi wake!c.c.m na vyombo vyake lazima wajue mabadiliko yanayokuja hawawezi kuyazuia hata kwa nguvu gani!
 
Mkuu wangu makene ,kwa sisi ambao tuko mikoani tutaona mkutano kupitaia kituo gani ?waamsheni hao wanaojiita wabongo sisi huku tulishawapiga bao.
 
yan ccm na jeshi lake le hii tuna chukuliwa haki yetu ya kutembea! NASHINDWA KULIELEWA HILI JESHI LA CCM! ATA KAMA TUSIPOTEMBEA MOVENT FOR CHANGE HAITAKOMA. PEOPLES POWEÈERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR
 
Chadema chademaaa pipoz power!!??
Tanzania tanzaniaaaa pipoz powerrr!!
Chadema chademaaaa pipoz party.
Pande hz za Arusha tutawa dere ITV,so mfanye kweli.mkisema pipoz power nataka nione spika zng za tv na sabufa znaanguka due to heavy voice of deliverance. DAIMA TUTASHINDA
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mkutano na maandamano.

Kwani mkikutana jangwani tu mkafanya mkutano wenu halafu kila mtu akaondoka zake inakuwa na shida gani?
 
Hivi police hawawezi hata siku moja kutumia bongo zao? Yaani wanakera na vijisababu vya kitoto.
 
Ninavyofikiri, intelijensia maana yake ni kuelewa mpango mzima wa njama na kuweka mkakati wa kuuthibiti bila kuathiri haki za raia kufanya shughuli zao ikiwemo hii ya matembezi ya mshikamano. Kama wana taarifa za kiintelejensia, ina maana wanaelewa fika mchakato huo wa uvunjivu wa amani, sasa kwa nini wasiweke mtego? Ninachokiona hapa ni kwamba, kama CDM watalazimisha matembezi hayo, Polisi wenyewe watafanya juu chini kufanya ukabaji, uporaji nk kama walivyoeleza ili kutimiza ramli yao (habari za intelejensia)alafu watasema tulishawaambia, mkadharau polisi. Hivyo, wanachadema na sisi tuwe na intelejensia yetu lakini ya kitaalamu badala hii ya ramli na tuwe makini kufanya matembezi bila vurugu yoyote, tuwapuuze watakataka kutupandisha jazba. Nawatakia kila la heri na mkutano mwema, tulioko mikoani tutafuatilia kwa TEKNOHAMA.
 
Police waliokuwepo wakati wa uchaguzi 2010 wameenda wapi wote ama wamestaafu kazi?mbona wakati ule walikuwa wengi sana??
 
Hawa polisi ndio tumeambiwa na mkurugenzi mkuu wa NIDA kwamba kiasi cha 700 hivi kwamba wameajiriwa huko kwa vyeti bandia.
Sasa hapa wanaendeleza tabia yao ya kujipendekeza kwa ccm badala ya kusimamia sheria na weledi.

kazi wanayo hao police, maisha yao magumu lakini kwa kutekeleza amri...., ila hawa ni ndugu zetu, kitambo kidogo watajitambua
 
Embu tusubiri tuone maana masaa machache kabla ya kesho utasikia IGP anasema kuna shambulio la BOKO HARAM au UAMSHO-znz so na mkutano wenyewe umevunjwa watu wasitoke nje mpaka j2 saa 8 mchana.
 
Back
Top Bottom