Kojo Dowido
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 354
- 111
Magufuli kila siku zinavyo songa mbele ndio anazidi kushusha nondo kali. viongozi atakao wachagua yeye ni wa kuwa tumikia maskini wa nchi hii kwani wanalipwa mshahara wao kutokana na kodi za maskini hasa wafanyakazi.
ukiwa huwezi sikia hilo, wao kazi kuwapa masikini vijihela ili wajitoe akili na kujipisha deki kwenye barabara za lami zilizojengwa na wanao wananga kuwa miaka 54 hamna chochote walicho kifanya.
ukiwa huwezi sikia hilo, wao kazi kuwapa masikini vijihela ili wajitoe akili na kujipisha deki kwenye barabara za lami zilizojengwa na wanao wananga kuwa miaka 54 hamna chochote walicho kifanya.