Mkutano wa Dk. Slaa Mbarali

Mkutano wa Dk. Slaa Mbarali

Sokoine2

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
214
Reaction score
32
Wakuu habari!

Leo unafanyika mkutano wa hadhara wa CHADEMA utakaohutubiwa na dk. Slaa kata ya Ubaruku Mbarali. Na sasa makamanda kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Mbarali ndo wanawasili.

Nitatoa dondoo mkutano utakavyokuwa unaendelea.
 
Pamoja kamanda usisahau kutupia picha. Wakati nchemba anafungua matawi nje sisi tunachanja mbuga
 
Pamoja sana kamanda, tunakutegemea usije ukaingia chaka...
 
Wakuu habari!

Leo unafanyika mkutano wa hadhara wa CHADEMA utakaohutubiwa na dk. Slaa kata ya Ubaruku Mbarali. Na sasa makamanda kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Mbarali ndo wanawasili.

Nitatoa dondoo mkutano utakavyokuwa unaendelea.

Wakuu mkutano ndo umeanza na ameanza Mwita Waitara na ss anaongea Dev Silinde na anazungumzia kilichotokea bungeni na jinsi magamba walivyokurupukia katiba mpya na jinsi mchakato ulivyowashinda kwa kuwa haikuwa hoja yao suala la katiba mpya. Soon anafuatia Sugu....
 
twangeni kila angle makamanda sisi tupo nyuma yenu,CDM MWENDO MDUNDO acha magamba yahangaike na wachina majukwaani
 
Ubarikiwe sana mkuu lete na picha Kwa wingi ukiweza
 
Wakuu habari!

Leo unafanyika mkutano wa hadhara wa CHADEMA utakaohutubiwa na dk. Slaa kata ya Ubaruku Mbarali. Na sasa makamanda kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Mbarali ndo wanawasili.

Nitatoa dondoo mkutano utakavyokuwa unaendelea.

Wakuu pia nina video ila nimechemka kuiweka na samahani pia picha zinanisumbua kuweka sababu sina utaalam wa kutosha na naendelea kuhangaikia nikifail nitatoa taarifa!
 
weka update mkuu, bado twasubiri ati
 
Wakuu mkutano ndo umeanza na ameanza Mwita Waitara na ss anaongea Dev Silinde na anazungumzia kilichotokea bungeni na jinsi magamba walivyokurupukia katiba mpya na jinsi mchakato ulivyowashinda kwa kuwa haikuwa hoja yao suala la katiba mpya. Soon anafuatia Sugu....huyu jamaa WAITARA nilikuwa namwamini mkuu ila siku 1 niliwahi kumkuta sehemu akiwa na shibuda wanapanga mipango ya kubomoa wenzao wa CHADEMA kwa kweli simwamini tena
 
dr slaa lazima awe rais wetu hata sisi wanaofikiria tunampinga kwa mantiki ya udini tuko naye sana
 
Back
Top Bottom