Mkutano wa Dk. Slaa Mbarali

Mkutano wa Dk. Slaa Mbarali

Wakuu mkutano ndo umeanza na ameanza Mwita Waitara na ss anaongea Dev Silinde na anazungumzia kilichotokea bungeni na jinsi magamba walivyokurupukia katiba mpya na jinsi mchakato ulivyowashinda kwa kuwa haikuwa hoja yao suala la katiba mpya. Soon anafuatia Sugu....huyu jamaa WAITARA nilikuwa namwamini mkuu ila siku 1 niliwahi kumkuta sehemu akiwa na shibuda wanapanga mipango ya kubomoa wenzao wa CHADEMA kwa kweli simwamini tena

katiba siyo ya ccm wala cdm hivyo hoja ni ya kipuuzi na kwa swala hili kila mtu aachwe na akubaliwe kwa mawazo yake
 
Wakuu naombeni radhi nimehangaika mda mrefu sana na nimeshindwa kuweka picha na ni kwa sababu ya uduni wa miundombinu na ratiba ilikuwa nirudi mjini keshokutwa lakini naahidi kama nikishindwa na kesho itanibidi nirudi mjini kesho hiyohiyo. NAOMBENI SANA MNISAMEHE KWA HILO! Na nitalishughulikia ipasavyo!
Upande wa mahudhurio pamoja na kuwa na msiba wa mwenyekiti wa cdm kijiji cha mkombwe ambacho kipo ndani ya kata ya ubaruku lakini watu walikuwa wengi sana na chama cha madawa hata wasombe na malori hawawezi kufikia idadi iliyokuwepo! Na waandishi walikuwepo na lazima watairusha hewani.
Kwa upande wa Waitara M. Mwita amepewa dk chache sana na amezungumzia hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo wananchi wa mbarali na mbunge wao kupiga kura ya ndio bungeni wakati wananchi wake wana hali mbaya kiuchumi.
David Silinde kawalaum wananchi wa mbrl kuchagua mbunge wa ccm ambaye kazi yake ni kupiga kura ya ndio na kuchukua posho tu.
Joseph Mbilinyi yy kasema spika na naibu wake wanaharibu bunge kwa kupindisha maamuzi.
 
Pia Sugu kaahidi ataendelea kukomaa bungeni kutetea wananchi na ndugai akizingua atamfuata pale mbele na kumpa dozi ili aache upendeleo!

Kwa upande wa dk Slaa kawalaum viongozi wa cdm mbarali kwa kushindwa kufanya mikutano mara kwa mara. Pia upande wa wabunge wa ccm kuwa wanasema ndio bungeni wakitoka nje wanawapongeza wabunge wa cdm na kawashauri wabunge wake bungeni ss iwe inapigwa kura ya m1 m1 ili kuwashitaki ccm kwa wananchi wao maana huwa wanasema hawakushiriki kupiga kura na kamshauri sugu asimpige ndugai bali abebe siwa pale bungeni na itakuwa ni ajabu ya dunia na bunge haliwez kuendelea bila siwa.
Upande wa serikali kasema tz imezisaidia angola msumbiji botswana na namibia kupata uhuru lakn ss zinaizd tz uchumi na hiyo imesababishwa na viongozi wa serikali ya ccm. Upande wa tume ya WORLD HAPPIEST REPORT kasema ni aibu tz kuwa ya 151 kati ya nchi 156 kwa kushindwa kuboresha maisha ya wa tz ambayo waliahidi kuboresha!
 
Wakuu, ktk kulahisisha upatikanaji wa picha kuna jamaa yangu wa ubaruku kaweka picha za mkutano wa jana kwenye FB page yake na anaetaka kuona anaitwa YUSUPH IYULU na utaona hizo picha!
 
ustaadhi alikuwa mweka hazina wa chadema wilaya ya tarime.wakati mkt mbowe alipo tembelea tarime kufuatia na makundi ya heche na waitara ni miongoni mwa walioondolewa.ndg acha kuleta majungu kwa waitara. makao makuu,mikoa na watu wa tarime wanajua kwamba katika kazi waitara ni mwisho wa reli.kaza buti waitara ndio maana kila siku upo ziarani kuimarisha chama.



Wakuu
mkutano ndo umeanza na ameanza Mwita Waitara na ss anaongea Dev Silinde
na anazungumzia kilichotokea bungeni na jinsi magamba walivyokurupukia
katiba mpya na jinsi mchakato ulivyowashinda kwa kuwa haikuwa hoja yao
suala la katiba mpya. Soon anafuatia Sugu....huyu jamaa WAITARA nilikuwa
namwamini mkuu ila siku 1 niliwahi kumkuta sehemu akiwa na shibuda
wanapanga mipango ya kubomoa wenzao wa CHADEMA kwa kweli simwamini
tena
 
angalia waitara na dr slaa wakiwa kazini.
Wakuu habari!

Leo unafanyika mkutano wa hadhara wa CHADEMA utakaohutubiwa na dk. Slaa
kata ya Ubaruku Mbarali. Na sasa makamanda kutoka maeneo mbalimbali ya
wilaya ya Mbarali ndo wanawasili.

Nitatoa dondoo mkutano utakavyokuwa unaendelea.
 

Attachments

  • Photo0028.jpg
    Photo0028.jpg
    40.3 KB · Views: 402
Hivi tuseme ukweli jamani thamani ya DR SLAA ni zaidi ya NEC yote ya ccm ! Tena kwa mbali sana !
 
sisi wana mbalali tunawachora tu afu mkindoka tunawasahu ccm ndio habari ya mjini naomba balozi wa china aje na huku mbalali afungue viwanda tunatka maendeleo hatutaki maandamano
kidumu chama tawala
 
sisi wana mbalali tunawachora tu afu mkindoka tunawasahu ccm ndio habari ya mjini naomba balozi wa china aje na huku mbalali afungue viwanda tunatka maendeleo hatutaki maandamano
kidumu chama tawala

CCM Mbarali imebaki Rujewa tu na ni sababu ya njaa za wavivu kama wewe hamtaki kufanya kazi mnapenda kuolewa kwa waburushi. AMKENI!
 
:msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela:
MCHAKAMCHAKA MPAKA KIELEWEKE
 
CCM Mbarali imebaki Rujewa tu na ni sababu ya njaa za wavivu kama wewe hamtaki kufanya kazi mnapenda kuolewa kwa waburushi. AMKENI!

Mpaka 2015 hakuna jiwe litakalobaki bila kugeuzwa, Yaani hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiww jingine,Hakuna kulala mpaka walale wao.....!
 
sisi wana mbalali tunawachora tu afu mkindoka tunawasahu ccm ndio habari ya mjini naomba balozi wa china aje na huku mbalali afungue viwanda tunatka maendeleo hatutaki maandamano
kidumu chama tawala

Subirini wa Syria aje na silaha za maangamizi.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom