nasikia wamehudhuria watu watano tu
:msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela:
MCHAKAMCHAKA MPAKA KIELEWEKE
CCM Mbarali imebaki Rujewa tu na ni sababu ya njaa za wavivu kama wewe hamtaki kufanya kazi mnapenda kuolewa kwa waburushi. AMKENI!
CCM Mbarali imebaki Rujewa tu na ni sababu ya njaa za wavivu kama wewe hamtaki kufanya kazi mnapenda kuolewa kwa waburushi. AMKENI!
wewe ndio unasubiri ndoa hiyo ihalalishwe kwani umeshaolewa mombasa na mwarabu kwani nani hajui au nitoe siri zako...na ndio maana unawaspot waliberali na chadema ili na tz tuwahalalishe ...vipi umeshajifungua watoto wangap?
Ukiona mtu yuko ccm anakuwa ni kwa sabab ya kitu au mwanaume! Lakini cdm ni kwa moyo wala si kwa chochote zaidi ya uzalendo. Ccm watafanya mkutano sehem gani ya mbarali kwa amani tofauti na rujewa kwa wake wa waburushi kama wewe? Kwa taarifa nilikuwa mmoja miongoni mwa uvccm mbarali nilipoijua kweli nikahama. Na ukiona mtu anaiendea njia ambayo sio huku akijua huyo ni bata kama wewe! Kwa ujinga huo mtaendelea kuolewa na kuzalishwa na waburushi mpaka kufa kwenu! Serukamba you!
kwani nan hakujui wewe umezoea kuolewa na kuachika hata huko kwa waliberali utahama baada ya kuzidiwa mapigo ya kuchora 7...na sisi huku ukija hatukutaki utaenda CHAUMA ndio panakufaa
Bahati nzuri nawafaham maccm wote mbarali niambie ni yupi mwenye uwezo wa kupanga hoja na akaeleweka? Nimeshiriki kampeni naelewa hakuna sera zaidi ya 'ccm chama dume' na kanga na kofia mnazogawa! Na 2015 mjiandae kuachia mzigo na nadhani unabisha tu lakini dalili unaziona!
hizo dallili si kitu wananch watz wanahaki ya kuhudhuria mikutano ya vyama vyote kwa hiyo usione umati mkubwa ndio ukafikiri wote ni wanachama wenu wengi wanakuja kusikiliza tu ........tusubiri mwakani 2014 uone kwenye serikali za mitaa ndio utafahamu ukweli ...