PreGE2025 Mkutano wa CHAUMA wakosa watu Mwanza

PreGE2025 Mkutano wa CHAUMA wakosa watu Mwanza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
CHAUMA ilinadi mkutano wake kufanyika kwenye viwanja vya furahisha ila ajabu watu wa Mwanza walipuuza na hawakujitokeza

CHAUMA walipewa uwanja wa furahisha pamoja na support ya ulinzi wa polisi lakini wapi

Uwanja wa Furahisha waliuomba chadema wakanyimwa hadi wakaamua kufanyia mkutano Igoma

Usishindane na chadema
Huu ni mipango wa Mungu View attachment 3354847View attachment 3354854
Naona ng'ombe wawili hapo wakishuhudia mkutano wa Chauma😂
 
CCM wenyewe mwanza wanapaheshimu wanakuja na wasanii Lakini lazima wakasombe watu sengerema na buchosa na magari ya king msukuma. Wanaopataga watu mwanza bila kutumia nguvu ni Chadema peke yao.
 
Back
Top Bottom