Joshua Mbezi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,935
- 4,181
Maajabu ya ng'ombe kuhudhiria mkutano😂😂😂
Alafu nguvu ya mitandao ilivyokuwa kubwa na mikoa mingine nao wataiga hii nadhani Huko waendako watabaki wenyewe Tu jukwaani....hii aibu itakuwa kubwa zaidi wakienda mbeya ,Arusha na tarimeHapo naona watu wame aibuka mazina
Aliyewapiga picha hao ng'ombe hapo dah amekaa kisnitch sana 😃CHAUMA ilinadi mkutano wake kufanyika kwenye viwanja vya furahisha ila ajabu watu wa Mwanza walipuuza na hawakujitokeza
CHAUMA walipewa uwanja wa furahisha pamoja na support ya ulinzi wa polisi lakini wapi
Uwanja wa Furahisha waliuomba chadema wakanyimwa hadi wakaamua kufanyia mkutano Igoma
Usishindane na chadema
Huu ni mipango wa Mungu View attachment 3354847View attachment 3354854
Ccm pia bila kusomba watu mkutano wao unaweza kuwa na sura ya namna hii.CHAUMA ilinadi mkutano wake kufanyika kwenye viwanja vya furahisha ila ajabu watu wa Mwanza walipuuza na hawakujitokeza
CHAUMA walipewa uwanja wa furahisha pamoja na support ya ulinzi wa polisi lakini wapi
Uwanja wa Furahisha waliuomba chadema wakanyimwa hadi wakaamua kufanyia mkutano Igoma
Usishindane na chadema
Huu ni mipango wa Mungu View attachment 3354847View attachment 3354854
Hao wajinga wanajua wananchi ni mazuzu kama waoWalijiandaa na mabaunsa wa kuzuia nyomi la watu, wasifike meza kuu ya madalali kina Mrema na Kigaila. Siasa ni nusu ukichaa na nusu wehu.
Maskiniiiii!CHAUMA ilinadi mkutano wake kufanyika kwenye viwanja vya furahisha ila ajabu watu wa Mwanza walipuuza na hawakujitokeza
CHAUMA walipewa uwanja wa furahisha pamoja na support ya ulinzi wa polisi lakini wapi
Uwanja wa Furahisha waliuomba chadema wakanyimwa hadi wakaamua kufanyia mkutano Igoma
Usishindane na chadema
Huu ni mipango wa Mungu View attachment 3354847View attachment 3354854
Ng'ombe wamevutiwa na sera ya ubwabwa, wakaona wajongee kwenda kula ubwabwa.Sera zao hadi ng'ombe wamevutiwa nazo wakaenda kuwasikiliza.
Itoshe kusema hicho ni chama cha mang'ombe
Yaani sijaelewa hapa ni kabla ya mkutano au picha zimepigwa baada ya mkutano kuisha?CHAUMA ilinadi mkutano wake kufanyika kwenye viwanja vya furahisha ila ajabu watu wa Mwanza walipuuza na hawakujitokeza
CHAUMA walipewa uwanja wa furahisha pamoja na support ya ulinzi wa polisi lakini wapi
Uwanja wa Furahisha waliuomba chadema wakanyimwa hadi wakaamua kufanyia mkutano Igoma
Usishindane na chadema
Huu ni mipango wa Mungu View attachment 3354847View attachment 3354854
Ng'ombe wameenda kuvishangaa vyama vinavyoelekea Machinjioni kuchinjwa October.Sera zao hadi ng'ombe wamevutiwa nazo wakaenda kuwasikiliza.
Itoshe kusema hicho ni chama cha mang'ombe