MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 254
Kimuli muli
Criminal psychologist wamebainisha kuwa kumjua mwizi lazima uwe kama mwizi.Wewe! Lucifer anakusubiri hapo lumumba akupe posho ya buku 7 na kukulamba t.i.g.o.
You're taking Tanzanian for granted. Come November 2015, mtakuja na kauri zile zile za kutomtambua Rais halafu kesho yake mnakwenda ikulu kunywa chai na juice ya matunda.
Zidumu sauti za viongozi 'mashuhuri' zinazosema, Hatumtambui Rais lakini tunaitambua serikali yake!!.
Nendeni kwanza mkajifunze sayansi ya siasa ili mpate mwanga wa siasa ya Tanzania.
Anna Makinda hata ubunge hagombei tena 2015 halafu eti wanaenda kuwambia watu wamkatae? when and for what?
Hizi siasa za zimamoto zikiongozwa na kuku aliyekatwa kichwa.
Longo longo kibao za nini kama siyo kujaza maneno yasiyokuwa na maana yoyote. si ungeandika tu hayo maneno matatu kama hapo kwenye RED na ukaeleweka vizuri.Serukamba yuuuuuuu...
Mambo ya Njombe tunayajua sisi wewe endelea kuwa msemaji wa Mwigulu Chemba mshirikina mwenzio. Anna Makinda alisema hatagombea mwaka 2000 uchaguzi ulipofika akachukua form na kutishia kuwaloga wapinzani wake, hivyo hivyo mwaka 2005 na 2010. Ghilba kuwa hatagombea tena tumezizoea na sasa tunacho chama mbadala agombee asigombee hatumpi mwana magamba Njombe. Mjinga (Mwana Njombe) akibumburuka mwerevu (MaCCM) hana chake
Sidhani kama vinaweza kushinda zile mbinu ambazo Lwakatare alikuwa anaziainisha kwenye karatasi wakati akinaswa na kamera.
You're taking Tanzanian for granted. Come November 2015, mtakuja na kauri zile zile za kutomtambua Rais halafu kesho yake mnakwenda ikulu kunywa chai na juice ya matunda.
Zidumu sauti za viongozi 'mashuhuri' zinazosema, Hatumtambui Rais lakini tunaitambua serikali yake!!.
Nendeni kwanza mkajifunze sayansi ya siasa ili mpate mwanga wa siasa ya Tanzania.
Anna Makinda hata ubunge hagombei tena 2015 halafu eti wanaenda kuwambia watu wamkatae? when and for what?
Hizi siasa za zimamoto zikiongozwa na kuku aliyekatwa kichwa.
asante kwa picha mkuu. mia
Chadema inapendwa na watu wanaipenda toka moyoni mwao hii ni mara ya kwanza kwangu kuhudhuria mkutano kweli watu wamejaa
Longo longo kibao za nini kama siyo kujaza maneno yasiyokuwa na maana yoyote. si ungeandika tu hayo maneno matatu kama hapo kwenye RED na ukaeleweka vizuri.
Halafu acha kujipa madaraka ya kuwa msemaji wa wana njombe wengi. usipende kuwaweka watu wote kwenye box la fikra zako. Kama unataka kuwa msemaji wao katika maendeleo, kagombee ubunge 2015 kuliko kujipa matumaini ya hisia ambazo zimejaa kwa watu waliobarikiwa fikra finyu.
Hata fisi naye alikuwa na subira kama yako. Wewe endelea kusubiri kama zilivyo siasa zenu za matukio wakati CCM wanatekeleza ilani yao ya Uchaguzi.Mbona wewe hujasema hayo maneno Matatu ukaeleweka? Acha ushabiki usio na maana. Njombe ndo hivyo, kinanuka! Tusubiri tuone.
Ilani ya kutenga bil29 za kuwarudisha madarakani huku wakiwaacha wananch wakitaabika kukosa maji.Hata fisi naye alikuwa na subira kama yako. Wewe endelea kusubiri kama zilivyo siasa zenu za matukio wakati CCM wanatekeleza ilani yao ya Uchaguzi.
Jamani sasa itakuwaje kama mchina wako hawezi hata kutpatia picha,anyway tu-update japo kinachoongelewa
Mbinu zenu hadi zinachekesha!! haya endeleeni!