Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,693
- 40,956
- Thread starter
- #21
Wakati naandika sikutegemea kwamba kila mtu ataelewa kila kitu, ukizingatia kwamba kila mtu anaoupande wake ambao atakua anatumia katika kuangalia mambo.Sioni chochote Ulichoandika hapa kuwa kimefanywa na EU au CHADEMA! Cramming and understanding are two different things! What I see from your Article is the result of cramming and quoting of provisions rather than showing which provisions were breached! Unless you come again n tell us specifically which provisions did the EU breach, and How!