Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,559
- 41,077
Umenukuu vifungu vingi kwa nia ya kutetea uovu?
Lakini unajua kuwa baada ya mauaji ya kimbali ya Rwanda, ni Umoja huo huo wa Mataifa umetoa haki ya uingiliaji kati pale inapoonekana kama kuna mauaji ya kimbali au kuna njama za kufanya mauaji ya kimbali?
Halafu kwa unafiki wako, mbona hujasema lolote kuhusiana na mikataba ya kimataifa ambayo tumeridhia inayohusiana na kulinda na kuheshimu haki za binadamu?
Kwa sasa Watanzania tuna haki ya kutumia nguvu na jitihada zote zinazoruhusiwa na na zisizoruhusiwa kwa nia ya kuondokana na uonevu, ugandamizaji, utesaji na mauaji maana hata huyo anayetutendea uovu huu haheshimu sheria wala katiba.
Lakini unajua kuwa baada ya mauaji ya kimbali ya Rwanda, ni Umoja huo huo wa Mataifa umetoa haki ya uingiliaji kati pale inapoonekana kama kuna mauaji ya kimbali au kuna njama za kufanya mauaji ya kimbali?
Halafu kwa unafiki wako, mbona hujasema lolote kuhusiana na mikataba ya kimataifa ambayo tumeridhia inayohusiana na kulinda na kuheshimu haki za binadamu?
Kwa sasa Watanzania tuna haki ya kutumia nguvu na jitihada zote zinazoruhusiwa na na zisizoruhusiwa kwa nia ya kuondokana na uonevu, ugandamizaji, utesaji na mauaji maana hata huyo anayetutendea uovu huu haheshimu sheria wala katiba.