nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
vipi tundu lissu hayupo?Kamanda Mnyika ameshamaliza, sasa ni zamu ya kamanda mzee anga, Mbowe anashusha elimu ya uraia.
vipi tundu lissu hayupo?Kamanda Mnyika ameshamaliza, sasa ni zamu ya kamanda mzee anga, Mbowe anashusha elimu ya uraia.
Wahuni ni nyie mnafanya ufisadi mchana kweupe. Wauza unga wakubwa ni nyie.Chama hamna humo ni genge la wahuni wachache.
Hawawezi kuja kwa kuwa Zitto hana mahusiano mazuri na wanahisamakamanda njooni hata kigoma mbona mmetususa. tangu 2010 hakuna hata kiongozi aliye kuja kg. wanajamvi nisaidien kwa hili
Hawawezi kuja kwa kuwa Zitto hana mahusiano mazuri na wanahisa
Chama hamna humo ni genge la wahuni wachache.
Hahaha hahaha hahaha hahaha kamanda umeshusha nondo.NAkushukuru kwa kua muelewa.GENGE la wahuni wachache ni SHONZA,MTELA,HABIB na madiwan wa ARUSHA tuliowafukuza.kwaiyo GENGE LA WAHUNI WACHACHE UNALOLISEMA HALIPO TENA.
Yale maandamano ya kumng'oa Meya yameishia wapi?
Anataka zile za kipumbavu za HAMY-DHajafungulia mkuu!
Atakuja maana mada zenye akili kama hizi huwa haonekani