Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Mada inasemaje ? tutumie vichwa vyetu kufikiri na si kufuga nywele (AG)
anza wewe unayesema cdm kuchukua nchi ni ndoto, utadhani kura zote unapiga wewe.
Mada inasemaje ? tutumie vichwa vyetu kufikiri na si kufuga nywele (AG)
Anza wewe kutumia akili, wao hawana kibali halafu wanahamasisha wananchi wafanye maandamano.Naomba kurudia tena, Chama hakihusiki na madhara yanayotokana na matumizi mabaya ya nguvu za dola yanayofanywa na serikali. Naomba tutumie nguvu za hoja na siyo hoja za nduvu
Naomba kurudia tena, Chama hakihusiki na madhara yanayotokana na matumizi mabaya ya nguvu za dola yanayofanywa na serikali. Naomba tutumie nguvu za hoja na siyo hoja za nduvu
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !
Wewe ni crazyBrain!
Unataka kutuambia uhuru wa mipaka ni kuzuia maandamano ya CHADEMA lakini maandamano ya CCM ruksa!
Hivi for your tiny and small Brain, unafikiri Watanzania wote ni wapuuzi na wajinga kama wewe? Sahau! Watanzania wanajua wanachokifanya na kwa taarifa yako tu jinsi Policcm wanavyoendelea kuua na kujaribu kuzuia maandamano ya wapinzani hususan CHADEMA ujue tu CCM wanaendelea KUSAFISHA NJIA YA CHADEMA KUINGIA IKULU 2015!
Wewe subiri 2015 utaelewa ninachomaanisha.
majebele hakuna mtu anayejificha nyuma wala wapi,hata mie nawashangaa sana hawa polis vibaraka.hivi kwanini siku zote kwenye hizi fujo za CDM hakuna kiongozi anae umizwa? Ni wananchi tu ndio utasikia wameumizwa au uwawa. Au ndio ile tabia ya kujificha nyuma ya maspika na kuwatuma watu wakafanye fujo?
wapuuzi ndio wanamawazo kama yako.chini ya jua huna linaloshindikana.na siku hiyo utashangaa na roho yako.chadema waingie ikulu'!?? My foot..acheni ndoto za mchana.
wadanganye magamba wenzako kwani huoni???tunamacho tunaona.Naomba kurudia tena, Chama hakihusiki na madhara yanayotokana na matumizi mabaya ya nguvu za dola yanayofanywa na serikali. Naomba tutumie nguvu za hoja na siyo hoja za nduvu
chadema waingie ikulu'!?? My foot..acheni ndoto za mchana.
Hata KANU waliwahi kusema hivyo leo ni chama cha pili toka mwisho kwa umaarufu na kukubalika
Nchi imetulia , na mambo yanaenda kama kawaida including kukusanya kodi yako kwa maendeleo ya nchi, tutasimamia sheria na hatoogopwa mtu. Huu ni utawala wa sheria na sio utawala wakimangi wa CDM
hivi kwanini siku zote kwenye hizi fujo za CDM hakuna kiongozi anae umizwa? Ni wananchi tu ndio utasikia wameumizwa au uwawa. Au ndio ile tabia ya kujificha nyuma ya maspika na kuwatuma watu wakafanye fujo?
nani alimpiga mwenzie risasa mkuuWell done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !
Mipaka nikufuata sheria, kwa mauaji ya jana CDM waweke hapa jamvini kibali cha polisi kilicho waruhusu kufanya maandamano, na siku zote wamekuwa wanaandamana kwa kibali, jana kulikoni ? Hii nchi ni ya utawala wa sheria , sio nchi yakuongozwa kihuni huni tu