Mkutano wa Chadema M4C-Iringa wasitishwa!

Mipaka ya chama kimoja? Hata makaburu walikuwa wanadai wana democrasia.
Mipaka nikufuata sheria, kwa mauaji ya jana CDM waweke hapa jamvini kibali cha polisi kilicho waruhusu kufanya maandamano, na siku zote wamekuwa wanaandamana kwa kibali, jana kulikoni ? Hii nchi ni ya utawala wa sheria , sio nchi yakuongozwa kihuni huni tu
 
kikwete ni total failure, amebakiza majungu na vitisho tu kusubiri muda wake wa kufungasha virago kutoka magogoni. na nyie wapambe nuksi sijuwi mtakula wapi kuanzia october 2015.
Jana uliambiwa wanakereketwa, kule pemba wanajua jinsi ya kuwalisha.
 
Mipaka nikufuata sheria, kwa mauaji ya jana CDM waweke hapa jamvini kibali cha polisi kilicho waruhusu kufanya maandamano, na siku zote wamekuwa wanaandamana kwa kibali, jana kulikoni ? Hii nchi ni ya utawala wa sheria , sio nchi yakuongozwa kihuni huni tu
Kwa hiyo kichaa mmoja akiamua kwamba hakuna maandamano bila kuzingatia matakwa ya sheria inakuwa sheria halali?
 
Alama za mtu mnafiki ni tatu. 1, anapo aminiwa hufanywa hiana, 2. Anapo ahidi hushindwa kutimiza ahadi, 3. Na anapo ongea husema uwongo. Hizi sifa zote CDM wanazo

Asante kwa tafsiri ya mtu mnafiki.

Ningependa ujibu swali bila kujali huyo mnafiki ni nani;
Maandiko matakatifu yanasemaje juu ya wanafiki na wauaji?
 
madrassa channel.
Ha ha haaaaaaaa yako wazi hayo , na hapa sio madrasa hiyo nikukuonyeshe kuwa tuna weledi wa nyanja zote , sio mtu unakuwa na kitu kimoja tu ambapo hata akili uwezo wakufikiri unakuwa mchache. Hapa kila nyanja nipo, hakuna kupigwa chenga , ww sasa una nyanja moja tu na ndio yawa rahisi kurubuniwa na wanasiasa
 
Hawa jamaa bana...naona mnamtukana tu jamaa.hamnaga point za kujibu hoja kwa hoja.
MNAJICHORA SANA.
Sababu inaonekana hamna selfcontrol ni watu wa jazba.
Mi siwezi kumponda mtu directly kama hajani personal insult.
 
Asante kwa tafsiri ya mtu mnafiki.

Ningependa ujibu swali bila kujali huyo mnafiki ni nani;
Maandiko matakatifu yanasemaje juu ya wanafiki na wauaji?
Wanafiki na wauaji ni maadui wa Mungu duniani na ahera, na maandiko yanasema 'ukiua na ww uuwawe' ikiwa tu kifo hicho ni cha makusudi, ila kwa kifo cha kujitakia sheria hapo hai appy.
 
  • Thanks
Reactions: KXY
Mipaka nikufuata sheria, kwa mauaji ya jana CDM waweke hapa jamvini kibali cha polisi kilicho waruhusu kufanya maandamano, na siku zote wamekuwa wanaandamana kwa kibali, jana kulikoni ? Hii nchi ni ya utawala wa sheria , sio nchi yakuongozwa kihuni huni tu

Ndo matatizo ya kusoma chuo ukiwa na miaka sita! sheria ni kuua raia
 
Si kama hivi nakuelimisha kuwa hii nchi ni ya utawala wa sheria, jambo ambalo ulikuwa hulijui
Sheria ya EPA, Meremeta na Tangold. Hujui hata kwamba huwezi kukurupuka na kuzuia maandamano bila kutoa sababu za msingi kisheria, Unangangania kibali tu. Katika utawala wa kikaburu hungojei kibali, Ndio maana yalimpata Mandela, Halafu ikaja from prisoner to Mr. President. Huna cha kunielimisha. Mimi ni kamanda wa kisasa. Haya mambo yenu ya kukereketwa yanawahusu nyinyi,
 
Jamani mbona magari ya matangazo yalipita jana usiku kutuhamasisha, alafu MB. Mheshimiwa Msigwa alikuwa anaongea asubuhi kwenye redio ya Ebony F.M majira ya saa mbili hivi kuwa mkutano utakuwepo kama kawaida, sasa tuamue lipi? Which is the reliable source of information? Mimi nimeshatupia mavazi ya M4C tayari nasubiria muda sasa nifanyaje?
 
Sheria ya EPA, Meremeta na Tangold. Hujui hata kwamba huwezi kukurupuka na kuzuia maandamano bila kutoa sababu za msingi kisheria, Unangangania kibali tu. Katika utawala wa kikaburu hungojei kibali, Ndio maana yalimpata Mandela, Halafu ikaja from prisoner to Mr. President. Huna cha kunielimisha. Mimi ni kamanda wa kisasa. Haya mambo yenu ya kukereketwa yanawahusu nyinyi,
Soma magazeti ya leo , mliitwa viongozi wa CDM na mkapewa sababu , ila mkalazimisha wakulaumiwa ni nyie na si polisi. Kuhusu historia ya Mandela inahusikaje hapa? hapa ndio naanza kujua upeo wako wakupambanua mambo kuwa ni mdogo sana aisee. Kuhusu siasa , mie nimeanza siasa niko darasa la 2, ambapo kwa vyovyote ww utakuwa umeanza siasa baada yakumaliza pale ulipokomea Std 7, kwa maana hiyo basi mie ni Guru wa siasa hakuna pakukwepea kwangu mkuu
 
Soma magazeti ya leo , mliitwa viongozi wa CDM na mkapewa sababu , ila mkalazimisha wakulaumiwa ni nyie na si polisi. Kuhusu historia ya Mandela inahusikaje hapa? hapa ndio naanza kujua upeo wako wakupambanua mambo kuwa ni mdogo sana aisee. Kuhusu siasa , mie nimeanza siasa niko darasa la 2, ambapo kwa vyovyote ww utakuwa umeanza siasa baada yakumaliza pale ulipokomea Std 7, kwa maana hiyo basi mie ni Guru wa siasa hakuna pakukwepea kwangu mkuu

Sababu zenyewe unazijua au unakereketwa tu.

Hii najua inakuuma sana, hamtuwezi na makada wenu ndani ya Jeshi la Polisi

Hii ni ya Jana Morogo, Goli la kisigino

483695089.jpg



SLAA: POLISI WAMEUA DEMOKRASIA

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, alisema Polisi mkoani Morogoro limeitangazia dunia kuwa Tanzania hakuna demokrasia na kwamba sasa kuna jukumu la kupigania uwepo wa demokrasia nchini

Alisema hujuma za Polisi kwa Chadema zilianza siku nyingi na jana wamedhihirisha hujuma yao kwa kuamua kurusha risasi na kumuua Kijana Ally Nzona.

Akizungumza na umati wa wananchi katika uwanja wa Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege, Dk Slaa alisema baada ya amri ya Kamanda wa Polisi mkoani humo, Faustine Shilogile, askari walio chini yake wanasita kuchukua dhambi ya kufyatua risasi na mabomu kwa wananchi.

Alisema hata barua zinazoandikwa na polisi zinaonyesha kuwa ni watu wasiojua majukumu yao.

Alisema barua waliyoandika inaonyesha kama wametoa kibali cha maandamano wakati jukumu lao linatakiwa libakie kuwa ni la kulinda na siyo kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Alisema Kamanda wa Polisi mkoani humo hajui hata madhumuni ya mandamano kuwa ni kuungwa mkono na watu, hivyo wanaposema watu wataacha kazi haileti mantiki katika akili ya kawaida.

"Hivi maandamano yanafanyiwa porini, hii ndilo tatizo la kuwa na viongozi wa kupachikwa pachikwa nami nina shaka nao kama akili zao zinafanya kazi sawa sawa kwa kuwa pasipokuwa na watu hakuna maandamano," alisema Dk Slaa.

Alisema sheria ya kukataa maandanmano inaainisha sababu ambazo zinaweza kutatulika na kwamba kuwaambia barabara hazitoshi ni kuamua kufinya demokrasia.
 
Ni ndoto za mchana kwa CDM kuingia ikulu sio tu 2015 hata 3000, haipo . Na usidhanie kuingia ikulu ni kwa kile kikaratasi chhako unacho tumbukiza kwenye boksi, ni zaidi ya hapo, sasa utatumia njia gani km hiyo itashindwa? CDM ni sawa na kuku wa kuchora, hadonoi, hali, hawiki na hafai kwa nyama wala mayai

Hata KANU waliwahi kusema hivyo leo ni chama cha pili toka mwisho kwa umaarufu na kukubalika
 
Wanafiki na wauaji ni maadui wa Mungu duniani na ahera, na maandiko yanasema 'ukiua na ww uuwawe' ikiwa tu kifo hicho ni cha makusudi, ila kwa kifo cha kujitakia sheria hapo hai appy.



kifo cha kujitakia ni kipi? na nani amejitakia kifo akajiuwa ndani ya maada hii?
 
Well done polisi, msikubali watu wachache wenye uchu wa madaraka kumwaga damu za watanzania kwa mtaji wao wa kisiasa. Hakuna uhuru usio kuwa na mipaka !

Kwa hiyo aliyeuawa ndiye mwenye uchu wa madaraka? Basi wawampige risasi Slaa na Mbowe na wenzao badala ya watu ambao wala hawahusiki na maandamano. Muuza matunda alikuwa na uchu gani wa madaraka?

Wakati umefika ambapo "nguvu ya umma" itazidi makali ya risasi au upanga. Umeona jinsi wananchi walivyoendelea na mkutano licha ya mwenzao kupigwa risasi?
 
Back
Top Bottom