KXY
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 882
- 344
Wanafiki na wauaji ni maadui wa Mungu duniani na ahera, na maandiko yanasema 'ukiua na ww uuwawe' ikiwa tu kifo hicho ni cha makusudi, ila kwa kifo cha kujitakia sheria hapo hai appy.
kwa kuwa Mwenyezi Mungu anatuona sote basi na iwe kama ulivyosema hapo juu.
iwe leo au kesho wanaostahili hukumu hukumu itakuwa juu yao