Mkutano wa CHADEMA kata ya Goba

Mkutano wa CHADEMA kata ya Goba

vichaa wa jf .... mods anzisheni forum ya wehu.....

Uliiona original post?? Au umeamka wakati sisi ndio tunafikiria kusinzia?post ya kwanza iliishia hewani,ilikuwa haieleweki ndio maana nikampa changamoto kidogo,nashukuru ameirekebisha,inasomeka,inaeleweka.
 
Asante Mzee wa Usoke kwa posta yako, nyingine hizo....tukutane tarehe 16/3 Wizara ya Maji kudai Maji Goba na sehemu mbalimbali za jiji, wamelianzisha itabidi walinywe.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1361642916.063083.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1361642916.063083.jpg
    92 KB · Views: 150
  • ImageUploadedByJamiiForums1361643032.907867.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1361643032.907867.jpg
    87.9 KB · Views: 101
kikubwa wakasome yeye na mwenyekiti wetu! kweli ni watu makin na wawajibikaji lkn elimu ya cheti nayo mhim!!!

what are your expectations from the certified people? What do you miss from Mnyika and what does he lack?
 
Hii english yako KIBOKO!! bila shaka itakuwa imetoka shule zetu za kata! hahahaahaha kweli tumeua elimu!!
what are your expectations from the certified people? What do you miss from Mnyika and what does he lack?
 
kikubwa wakasome yeye na
mwenyekiti wetu! kweli ni watu makin na wawajibikaji lkn elimu ya cheti
nayo mhim!!!



Je, unajua maana ya kuelimika? Au unataka kujaza mavyeti kama nape, ilhali kichwani kumejaa makamasi.. Kwa taalifa yako, akili unatoka nayo tumboni mwa mama yako, haya mengine ni utekelezaji wa mifumo tu, ndio maana leo hii unatumia tech ya computer iliyobuniwa na form 6 wa US, hata hao ma prof wa UDSM wameshindwa kuandika program yoyote ya maana.
Okay, je nape akisoma zaidi na kupata PhD ndio itamsaidia kuondoa hayo makamasi yaliyojaa kichwani? kama kichwa nanga wewe ni nanga tu hata hufanyaje....
 
kikubwa wakasome yeye na mwenyekiti wetu! kweli ni watu makin na wawajibikaji lkn elimu ya cheti nayo mhim!!!

Kuna degree za kupeana kama ya baba mwana asha, tutawaombea wapewe, tunachataka mageuzi yatakayoleta uwajibikaji na uadilifu na haya hayataletwa na cheti, yataletwa na walalahoi wanaoguswa na uzalendo.
 
Solidarity forever!! CDM the way toward tz successs! lakn ELIMU MUHIM MD25,
Nasisitiza tena kikubwa wakasome CV Zao siyo nzuri!
Je, unajua maana ya kuelimika? Au unataka kujaza mavyeti kama nape, ilhali kichwani kumejaa makamasi.. Kwa taalifa yako, akili unatoka nayo tumboni mwa mama yako, haya mengine ni utekelezaji wa mifumo tu, ndio maana leo hii unatumia tech ya computer iliyobuniwa na form 6 wa US, hata hao ma prof wa UDSM wameshindwa kuandika program yoyote ya maana.
Okay, je nape akisoma zaidi na kupata PhD ndio itamsaidia kuondoa hayo makamasi yaliyojaa kichwani? kama kichwa nanga wewe ni nanga tu hata hufanyaje....
 
Last edited by a moderator:
Solidarity forever!! CDM the way toward tz successs! lakn ELIMU MUHIM MD25,
Nasisitiza tena kikubwa wakasome CV Zao siyo nzuri!



M4C forever....
Mkuu kama ulimsoma vizuri mh Mnyika, anasema mpaka ccm itoke madarakani ndio vyeti vitatafutwa. Nasema vyeti, kwa maana elimu tayari ipo kichwani.
Kama ulimuelewa vizuri Mh. Mnyika, sasa hivi tuko kwenye VITA VYA UKOMBOZI wa hii nchi, dhidi ya MKOLONI ccm. Kwa hiyo sasa hivi tunatafuta ukombozi.
Pia, tambua hata G. Washington wakati anaikomboa US hakuwa na mavyeti kama nape, wala kichwa hakikuwa na makamasi kama nape, ila kichwa kilikuwa SMART kma mh. Mnyika....
 
Last edited by a moderator:
john we fanya kazi, usiskize maneno hayo yapo yalikuwepo na yatazidi kuwepo. Ushanifahamu utaamu, chapa ilaleee
 
Hili Chama la CDM sijui lilishushwaga tokaga Mbinguni...?
Halafu wewe Mnyika ulizaliwaga au uliteremshwa toka juu...? Heri yao wazazi walio kuzaa...Wewe ni jembe...

Kwa kifupi hongereni makamanda wa CDM
 
Kwa kweli CDM ni wabunifu sana...

Kuna watu intelligent, lazima ubunifu uwepo. Ukilinganisha na hawa magamba ambao wanamtegemea mtu kilaza, hamjui baba yake, haijulikani baba yake ni nani, familia haimtambui, mtoto wa haramu, kilaza, failure, kichwa kimejaa makamasi, kwa sifa hizo ubunifu utatokea wapi....
 
kikubwa wakasome yeye na mwenyekiti wetu! kweli ni watu makin na wawajibikaji lkn elimu ya cheti nayo mhim!!!

Hao wasomi wenu wenye vyeti wamewafikisha wapi! WE TRUST WHAT WORKS MR GOOGLE, PRAGMATISM POLITICS! Nyie jazeni vyeti, watanzania tunafuata kinachofanya kazi kwasasa!
 
Last edited by a moderator:
Intelijensia ya KOVA haijakatiza ama wako bize na FBI huko ZNZ...
 
Wana CCM bwana, yaani vyeti kama alichonacho mwenyekiti wao JK alichotunukiwa huko Kenya na sijui kwa jambo lipi la msingi ndo wanaona vya maana saaana wakati kichwani blank tu ndo wanaona wameukata!!, maendeleo ya Nchi hii yanahitaji vichwa vyenye material data kama kina Mnyika, sio kuitwa itwa Dr. tu na huna mchango wowote wa maana katika taifa letu.
 
Back
Top Bottom