Mkutano wa CHADEMA kata ya Goba

Mkutano wa CHADEMA kata ya Goba

kikubwa wakasome yeye na mwenyekiti wetu! kweli ni watu makin na wawajibikaji lkn elimu ya cheti nayo mhim!!!

Wenye hivyo vyeti wamefanya nini cha maana mpaka sasa hata kutuaminisha kuwa elimu ya cheti ni lazima? Cheti ni karatasi tu elimu ya muhimu ni ile inayoweza badili maisha ya watu maana elimu iliwekwa rasmi ili mwanadamu aweze kuyamudu mazingira yake.....I hate tabia ya kuhusudu vyeti ambavyo kwanza vimejaa usanii mkubwa na ndiyo sababu maisha ya watanzania yapo duni mpaka leo.

Kwangu mimi Mnyika is far better kielimu kuliko wengi wenye vyeti ambavyo kihalisia haviendani na matendo yao...
 
Hii english yako KIBOKO!! bila shaka itakuwa imetoka shule zetu za kata! hahahaahaha kweli tumeua elimu!!

Acha kukurupuka dogo, hebu onesha kosa liko wapi hapo, angalia unaumbuka kijana kwa kuendekeza njaa.
 
Aisee hakuna kitu kinachonikera kama mtu na akili zake katika karne hii ya uchakachuaji wa elimu kushabikia vyeti, wenzetu sasa wako kwenye stage ya kumuweka mgombea kwenye chumba kama kile cha maonyesho ya sabasaba ili kila mwananchi apite na kumsaili ili ampime uwezo wake wa kudeliver leo mtu anaabudu vyeti?
 
Mtoa mada tafadhali masalia hayana sumu rekebisha kidogo.
 
Ndiyo kwanza kazi imeanza.Chadema ipo kikazi zaidi...............

hapa ndiyo Goba bwana.
 

Attachments

  • DSC04376.JPG
    DSC04376.JPG
    217.5 KB · Views: 54
  • DSC04378.JPG
    DSC04378.JPG
    190 KB · Views: 44
  • DSC04316.JPG
    DSC04316.JPG
    167 KB · Views: 37
Mkuu unatisha!!

Kama na siasa unaweza basi uko juu, maana kwenye lile jukwaa letu huwa unatoa burdani za uhakika na mwenzio Madame B!! Kama ni kura tu mkuu utapata na nitakuunga mkono kwa kila hali, mradi tu usiwe kile chama cha kupukutisha magamba yasiyopukutika!! Keep it up Mkuu!!

Ye akiwa rais, me nitakuwa makamu wake.
Wote wanawake.
 
Back
Top Bottom