GE2025 Mkutano wa CCM Kibaha ni aibu

GE2025 Mkutano wa CCM Kibaha ni aibu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kwa bahati mbaya, mimi na vyama vitu mbali mbali. Sisi ni waumini wa mgombea binafsi si chama. Maana vyama vyote hata chako CDM ni matapeli tu

Kulikoni kujishtukia ndugu? Kwani ngwapole na gwapole ni mtu mmoja?
 
umekosea badala ya kuandika jina umebrush kwa vile JF haina ngwapole! Angalia Screenshot

Ninakazia: Nalimlenga "ngwapole" makusudi-kaly wala si "gwapole" aja leo aondoka leo kama wapiga doria mitandaoni. Kwani ni wenzako?
 
Ninakazia: Nalimlenga "ngwapole" makusudi-kaly wala si "gwapole" aja leo aondoka leo kama wapiga doria mitandaoni. Kwani ni wenzako?
Tatizo wewe mbishi kama kawaida yenu! Hapa JF hakuna member anaitwa @ngwapole nipo Mimi TU gwapole! Hii haihitaji AI kuthibitisha. Kitu ulichofanya ni link ya gwapole kuiweka katika andishi ngwapole.
 
We mjuba unashanga nini wakati huu mtindo ndio unafanyika nchi nzima kusomba watu wakajaze nyomi. Mchezo unaofanyika ni aibu kwa kweli, bila kufanya hivi watu hawataenda kwa wingi
 
Hapa picha ya ndege kuna dala dala za mbagala kawe,kinondoni,almost daladala za mjini kama 100 zimechota watu mjini zimewaleta huku nimejiuliza kibaha hakuna watu
Kuna sheria yoyote ya nchi imevunjwa?
 
Kuna tatizo pahala. Inawezekanaje watu wazima wakajadili hoja bila hata picha. Ili mradi iwe ni kukandia na je ingekuwa ni upande wa pili? Let us be serious
 
Tatizo wewe mbishi kama kawaida yenu! Hapa JF hakuna member anaitwa @ngwapole nipo Mimi TU gwapole! Hii haihitaji AI kuthibitisha. Kitu ulichofanya ni link ya gwapole kuiweka katika andishi ngwapole.

Mkuu usilazimishe. Mimi ni mme wa mke mmoja na tayari kwisha oa!
 
Hapa picha ya ndege kuna dala dala za mbagala kawe,kinondoni,almost daladala za mjini kama 100 zimechota watu mjini zimewaleta huku nimejiuliza kibaha hakuna watu
Bila picha ni ngumu kumeza!
 
Una wazimu

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Hapa picha ya ndege kuna dala dala za mbagala kawe,kinondoni,almost daladala za mjini kama 100 zimechota watu mjini zimewaleta huku nimejiuliza kibaha hakuna watu
Wacha waendelee kupiga punyeto ya kisiasa
 
Hapa picha ya ndege kuna dala dala za mbagala kawe,kinondoni,almost daladala za mjini kama 100 zimechota watu mjini zimewaleta huku nimejiuliza kibaha hakuna watu
Acheni watu wale ajira,japo za msimu kazi hamna
 
Back
Top Bottom