GE2025 Mkutano wa CCM Kibaha ni aibu

GE2025 Mkutano wa CCM Kibaha ni aibu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hapa ndiyo naelewa kwanini #Mama aligonga Selfie jukwaani🤣

Waliuchungulia mchezo kwa umbali mkubwa kuwa huko tuendako mikutanoni wanaweza kubakia wenyewe
 
Hapa picha ya ndege kuna dala dala za mbagala kawe,kinondoni,almost daladala za mjini kama 100 zimechota watu mjini zimewaleta huku nimejiuliza kibaha hakuna watu
Kuna hatar hata wapiga kura wa Kiteto wakaonekana kuwapigia kura wagombea wa Mbinga, waoiga kura wa Mbagala kumpigia kura mgombea ubunge Kibaha...etc!!
 
Sasa km wanapewa pesa kwanini wasikubali kwenda 20000 yote 🤣
 
Usitupangie🤣🤣
 

Attachments

  • IMG_20250928_081122_090.jpg
    IMG_20250928_081122_090.jpg
    580.7 KB · Views: 10
  • IMG_20250928_081116_422.jpg
    IMG_20250928_081116_422.jpg
    483 KB · Views: 8
  • IMG_20250928_081111_317.jpg
    IMG_20250928_081111_317.jpg
    512.4 KB · Views: 7
  • IMG_20250928_081109_639.jpg
    IMG_20250928_081109_639.jpg
    582.8 KB · Views: 10
Hapa picha ya ndege kuna dala dala za mbagala kawe,kinondoni,almost daladala za mjini kama 100 zimechota watu mjini zimewaleta huku nimejiuliza kibaha hakuna watu

Hapa picha ya ndege kuna dala dala za mbagala kawe,kinondoni,almost daladala za mjini kama 100 zimechota watu mjini zimewaleta huku nimejiuliza kibaha hakunawatu.
Kwa maana hiyo watu aliowagutubia
Hapa picha ya ndege kuna dala dala za mbagala kawe,kinondoni,almost daladala za mjini kama 100 zimechota watu mjini zimewaleta huku nimejiuliza kibaha hakuna watu
Unataka kusema kwamba watu aliowahutubia viwanja vya Tanganyika parkers kinondoni wakati wa ufunguzi wa kampeni za ccm ndo walioletwa awahutubiwe tena hapo kibaha?
 
Back
Top Bottom