hoja hapa si uislamu au ukristo, acheni uvivu wa kufikiri, kila mtu ana dini yake au aweza kuwa mpagani, hoja yetu ni kwamba ccm wametufanyia nini zaidi ya kuhubiri amani na utulivu ambao haupo? ziko wapi rasilimali zetu, ziko wapiu huduma za afya, elimu bora, maji, barabara, uchumi endelevu n.k wako wapi walioba fedha benki kuu mchana kweupeee?
kama ningekuwa kiongozi wa ccm nisingeitisha mkutano jangwani leo, ningekuwa natenda zaidi kwa sababu dola wanayo, mikutano ningewaachia wapinzani ambao wanastrugle kuchukua dola, ningewajibu kwa vitendo, mawaziri wangekuwa vijijini wakisikiliza matatizo ya watu, lakini nyinyi magamba kweli sasa nimeuona mwisho wenu! you are gone!