Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,494
- 113,590
Kwanza natanguliza samahani kwa wale wa CCM wote na viongozi wake ambao ni safi hii haiwalengi hao individuals ila kinachoendelea sasa kwenye huu mkutano wa Tume ya Maridhiano ni uthibitisho tosha kuwa Chama chao wanachokiamini, sasa ni chama cha mafisadi!.
Kimetiwa mfukoni na wenye pesa zao! Licha tuhuma nyingi za kupokea fedha za mafisadi, Mpandazoe nae kashusha nyingine katika kuwatetea wapiganaji na kumtetea Mzee Mengi kuwa alimpa Sofia Simba Milioni 5 alizotumia kuhonga kupata uenyekiti wa UWT.
Pia nimegundua kumbe muuwaji wa Chadema Busanda ni Mzee Mengi, baada ya taarifa za CCM kugaragazwa vibaya Busanda, ni Mzee Mengi aliyeokoa jahazi kwa kutoa Milioni 1OO, zilizotumika kusambaza kilo mbili mbili za sukari kila kaya on election eve, kesho yake Chadema Chali!
Tuhuma za fedha za Jeetu Patel kufadhili hili na lile ni nyingi tuu na hazina ubishi.Kuna wabunge walikuwa kimya kwa muda mrefu sana bungeni, mara ghafla wamekuwa outspoken na ziara zao za na Mzee kugawa milioni mia mia majimboni mwao.
Hivi hamjiulizi hawa wafanya biashara na fedha zao wanazozamisha kwao zina lengo gani? Siku zote nia ya mfanya biashara ni kupata faida, sasa hawa wanainvest kwenye CCM ni faida gani wanaitegemea.
Afadhali nia ya wenzetu wenye asili ya Asia lengo litakuwa ni kujipendekeza kwa CCM ili kulinda maslahi ya biashara zao, sasa hawa wazawa wanawezaji kweli kugawa milioni mia mia huku watoto wao kila siku wanalia njaa. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya fedha ya RA na influence yake ndani ya Chama.
Nami nimefikia conclusion hii hii kuwa CCM ni Chama Cha Mafisadi na wasafi wachache!.
Kimetiwa mfukoni na wenye pesa zao! Licha tuhuma nyingi za kupokea fedha za mafisadi, Mpandazoe nae kashusha nyingine katika kuwatetea wapiganaji na kumtetea Mzee Mengi kuwa alimpa Sofia Simba Milioni 5 alizotumia kuhonga kupata uenyekiti wa UWT.
Pia nimegundua kumbe muuwaji wa Chadema Busanda ni Mzee Mengi, baada ya taarifa za CCM kugaragazwa vibaya Busanda, ni Mzee Mengi aliyeokoa jahazi kwa kutoa Milioni 1OO, zilizotumika kusambaza kilo mbili mbili za sukari kila kaya on election eve, kesho yake Chadema Chali!
Tuhuma za fedha za Jeetu Patel kufadhili hili na lile ni nyingi tuu na hazina ubishi.Kuna wabunge walikuwa kimya kwa muda mrefu sana bungeni, mara ghafla wamekuwa outspoken na ziara zao za na Mzee kugawa milioni mia mia majimboni mwao.
Hivi hamjiulizi hawa wafanya biashara na fedha zao wanazozamisha kwao zina lengo gani? Siku zote nia ya mfanya biashara ni kupata faida, sasa hawa wanainvest kwenye CCM ni faida gani wanaitegemea.
Afadhali nia ya wenzetu wenye asili ya Asia lengo litakuwa ni kujipendekeza kwa CCM ili kulinda maslahi ya biashara zao, sasa hawa wazawa wanawezaji kweli kugawa milioni mia mia huku watoto wao kila siku wanalia njaa. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya fedha ya RA na influence yake ndani ya Chama.
Nami nimefikia conclusion hii hii kuwa CCM ni Chama Cha Mafisadi na wasafi wachache!.