Mkutano Wa ACT Mwanza kesho

Mkutano Wa ACT Mwanza kesho

Status
Not open for further replies.
CHADEMA mnanitisha na hizi tabia zenu za kifashisti yaani hamko madarakani tayari mnavichukia vyama vinavyoonekana kutoa ushindani kwenu sasa sipati picha pale mkiingia ikulu si ndiyo mtapiga marufuku mfumo wa vyama vingi?

acha matusi wewe yaani Anika Chupi Tafadhali ndo kinatoa upinzani kwa cdm?
Shame on u!
 
huyu punda mtu samson mwigamba na visaliti vyeenzie kama chagulani, zitto kabwe, mshumbuzi,msijaribu kuitukana chadema mwanza mtapewa aibu ya mwaka jaribuni muone.
 
huyu punda mtu samson mwigamba na visaliti vyeenzie kama chagulani, zitto kabwe, mshumbuzi,msijaribu kuitukana chadema mwanza mtapewa aibu ya mwaka jaribuni muone.

ni wasaliti wa wachaga. na mashujaa wa watanzania
 
kwaiyo sasa kama chadema wanafanyia makanisani na wao wameamua kufania misikitini??

basi kazi ipo,tunataka tuone hapo nani mshindi
Siasa za bongo hii kaka tabu tupu zote njaa tu na ndio maana i always say CCM will rule this country forever.....
 
Umenena mkuu,wanagombana wao kwa wao ccm inashinda kiulaini.

Mkuu sijui nani ametulaani..... Kituko kingine ni CUF kuweka pingamizi kwa mgombea wa CHADEMA kule Chalinze hapo ndo uone tushasahau adui wetu ni CCM na sasa ni wenyewe kwa wenyewe!!
 
Mbona cdm wanakisakama sana act kmewashika au wanaona kunamapinduzi ya siasa zidi yao. Wakiona jina tu kwao ni neno tusi viva act viva nyuma mwiko
 
Bwi bwi bwi...kimwigamba ndio kitahutubia?

Kwa hiyo unamzarau mtu ambae anaweza akakushikisha kalam na kukusomesha ww unamuita ka muigamba mulize huyo mkuu eenu mbowe alifundishwa na mwigamba na bado act itawaumiza sana kichwa na watu wa ufipa ndio waoleta ipinzani kwa act wanaomba hata msajili asikipi usajili wa kudumu na mtasjindwa act mwendo mdundo tu
 
Hiki chama kimeishaferi tayari kabla ya kuingia field, kwa sababu kinatangaza ukabila, pia kina malengo ya kushindana na chama kikuu cha upinzani, sasa kama hayo ndiyo malengo yake, hakuna maana yoyote, nyie ni ccm, na mnatumia fedha zinazofisadiwa na ccm serikalini.
 
CHADEMA mnanitisha na hizi tabia zenu za kifashisti yaani hamko madarakani tayari mnavichukia vyama vinavyoonekana kutoa ushindani kwenu sasa sipati picha pale mkiingia ikulu si ndiyo mtapiga marufuku mfumo wa vyama vingi?

Kwa hiyo chama kipo ili kuleta upinzan kwa chadema? makubwa haya...
 
heeee wasaliti hao hawana lolote wamekwishapotea tupa kuleee ovyoooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom