Mkutano Wa ACT Iringa Chiku abwao atisha

Mkutano Wa ACT Iringa Chiku abwao atisha

Nilipita saa nane kulikuwa hakuna watu......labda kama walikuja badae....
 
Weka picha uthibitishe sio maneno matupu.Msigwa atosha Iringa
 
Pichaaa
 

Attachments

  • 1439154297949.jpg
    1439154297949.jpg
    47.3 KB · Views: 2,268
Weeee,,tuliokua kwenye mkutano ndo tumeona kilichotokea baada ya chiku kuanza kumshambulia mbunge msigwa kuwa msigwa ni shetani ,watu wamezomea na kuondoka hadi zzk alipoanza kubembeleza watu warudi
 
Weeee,,tuliokua kwenye mkutano ndo tumeona kilichotokea baada ya chiku kuanza kumshambulia mbunge msigwa kuwa msigwa ni shetani ,watu wamezomea na kuondoka hadi zzk alipoanza kubembeleza watu warudi

acha uongo,ni kweli walijaribu kuondoka wachache ila zzt hakuwabembeleza
 
msikate tama tangazeni hivyohivyo mtakuja eleweka miaka inavyoenda chama si mchezo ndugu zangu kuna gharama sisizokuwa na returns zinazoshikika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom