The young adult party
Huu utakuwa uvivu wa kuandika.
Weka picha.
Nilipita saa nane kulikuwa hakuna watu......labda kama walikuja badae....
Weka picha uthibitishe sio maneno matupu.Msigwa atosha Iringa
niliweka thredy hapa kuhusu mkutano wa act ambapo madreva boda boda waliandamana kudai hela za maandamano hadi katika ofisi za ACT walisikika wakipiga kelele "tunataka hela zetu" lakin nawashangaa mods waliutoa uzi wangu