haa haa act ni tawi la ccm.
niliweka thredy hapa kuhusu mkutano wa act ambapo madreva boda boda waliandamana kudai hela za maandamano hadi katika ofisi za ACT walisikika wakipiga kelele "tunataka hela zetu" lakin nawashangaa mods waliutoa uzi wangu
Acha UNAFIKI.
Leo kilikuwa na mkutano Wa chama cha ACT mawndeleo Iringa
kwa mujibu wa maandiko matakatifu laana ya usaliti ni mbaya sana ! act itafukuzwa kila mahali kama nzi , pamoja na chooni kuwa maskani ya nzi lakini akikutwa pia anatimuliwa , akibisha hata xpell itatumika .Jana nikiwa pale Kihesa Stend nikisubiri basi gari ya matangazo ilipita ikitangaza watu wakawa wanaonesha vidole viwili
UKAWA acheni uoga. Wakati nyie mking'ang'ana na propaganda za kusafisha magamba kwenye maTV mwenzenu ZZK anavuna wanachama wenu taaratibu kimya kimya. Mkizinduka mtaanza kusema CCM amewaibia kura, maana ndi kisingizio mlichoandaa mtakapoanguka October.
Acha ujinga wewe, sasa kuna CCM katika upinzani zaidi ya CHADEMA baada ya Lowassa kuingia? Basi tena!
Facts Inakuwa unafiki? How?
Jana nikiwa pale Kihesa Stend nikisubiri basi gari ya matangazo ilipita ikitangaza watu wakawa wanaonesha vidole viwili