Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Weka picha uthibitishe sio maneno matupu.Msigwa atosha Iringa
Kama kawaida yao na leo wamezonewa ile mbaya,sasa mbunge umeenda kuomba kura unazomewa unategemea nini tena hapo!
Weka picha uthibitishe sio maneno matupu.Msigwa atosha Iringa
Weka picha uthibitishe sio maneno matupu.Msigwa atosha Iringa
Nilipita saa nane kulikuwa hakuna watu......labda kama walikuja badae....
Nilipita saa nane kulikuwa hakuna watu......labda kama walikuja badae....
Ndio maana tunasema hao ni wapinzani mabwege,sasa wanaitisha mkutano kumtukana mbunge wa upinzani,hivi Abwao so alisema mbaya wake ni Luk uvi sasa kuingia ACT Msigwa ndio mbaya wake sasa?acha uongo,ni kweli walijaribu kuondoka wachache ila zzt hakuwabembeleza
msikate tama tangazeni hivyohivyo mtakuja eleweka miaka inavyoenda chama si mchezo ndugu zangu kuna gharama sisizokuwa na returns zinazoshikika
The young adult party
Siyo uvivu mjomba huo ni ujinga unaokaribia upumbavu!Huu utakuwa uvivu wa kuandika.
Weeee,,tuliokua kwenye mkutano ndo tumeona kilichotokea baada ya chiku kuanza kumshambulia mbunge msigwa kuwa msigwa ni shetani ,watu wamezomea na kuondoka hadi zzk alipoanza kubembeleza watu warudi
Siyo uvivu mjomba huo ni ujinga unaokaribia upumbavu!
Act ina laana kwani kila sehemu ikienda kufanya mikutano wanazomewa kama majambazi
Pichaaa