Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Elias Temu acha majungu
Haya mtamwagana na kuvuana nguo sasa hivi
Elias Temu acha majungu
Hii Bodi bado ipo hai kweli?
Umelifananisha na nani tena mkuu? humu si tunatumia majina hewa au unataka kuniimplicate na issue ya bodi nini? mimi mbona sihusiki aisee, au nimekosea kuchangia mada? kahawa yenyewe sijawahi hata kuionanaomba unipm namba yako maybe hilo jina nimelifananisha hv!
Hii Bodi bado ipo hai kweli?
Umelifananisha na nani tena mkuu? humu si tunatumia majina hewa au unataka kuniimplicate na issue ya bodi nini? mimi mbona sihusiki aisee, au nimekosea kuchangia mada? kahawa yenyewe sijawahi hata kuiona
Hii bodi inamajungu si cha kitoto .
Nadhani tatizo la bodi ya kahawa ni baadhi wafanyakazi wanaofanya kwa mazoea . Mfano mfanyakazi hajawahi kufanya kazi sehemu nyingine ,ameanza kazi hapo zaidi ya miaka 20 iliyopita ama ana elimu ndogo na hataki kujiendeleza ukilinganisha na majukumu anayopewa kwa sasa . Mfanyakazi wa aina hii lazima ategemee kuendelea kuwepo ofisini kwa kupika majungu hata kama anaelezea jambo la maana uwezo wake wa kutoa maelezo unakuwa mwembamba sana kutokana na kukosa exposure .
Mtazamo wangu ni kwamba mleta mada mambo mengi umeandika kwa kureflect personal interest baada ya wewe kuondolewa ama kunyimwa huo mrija uliotengenezwa hapo bodi ya kahawa na hao kina A.Kumburu &Co. Inaelekea wakikuwekea/kukurudishia tawi la huo mrija story zako zitabadilika na utatushawishi wana jamvi tumtukuze A.Kumburu &Co. kwa nyimbo na mapambio .
Tunakushukuru sana Bwana Goodluck Sipira kwa kumtetea Temu.Sisi wafanyakasi tuliokuwepo toka ensi sa Samani tunajua Kumburu ameifanyia mambo masuri sana Bodi ya kahawa,ila Kati vitu tutavyomlaani ni kukuajiri wewe Arope wa pili,wewe ni mjinga unayekunywa pombe muda wa Kasi.Temu Yuko Radhi anyonge Mtu ili afaidike yeye.
Na yale ya ripe cherry au kahawa matunda mmemalizana?. Hebu fanyeni kazi vijana acheni majungu yenye maslahi binafsi wakati wakulima wanaumia kuzalisha ninyi mnatumia kodi zao kupakana matope muda wa kazi.Tunakushukuru sana Goodluck Sipira kwa kumtetea Temu,tunamfahamu sana Elias kuliko wewe ulyekuja karibuni.Temu Yuko Radhi aue Mtu ili apate a achotaka.Kati vitu tutakavyomlaani Kumburu ni kukuajiri wewe Arope wa pili
Tuna ushahidi wa kutosha kuhusu hili.Elias Temu amepata hasira baada ya kuletewa Mtu mwenye degree Kwenye kitengo chake.Elimu ya Temu ni ya kidato cha nne,failure.Baada Temu kuletewa huyo mtumishi tena wa muda aliangua Kilimo na kuzunguka Kwenye makorido ya Bodi ya kahawa akilalalamika.Hasira nyingine ya Ndugu Temu ni kutoongosewa mshahara Kwenye muundo mpya wa utumishi.Temu kwa ujinga wake anadai Mtu mwenye elimu ya kidato cha nne Kama yeye na aliyefanya Kasi miaka azidi ya ishirini Bodi ya kahawa Kama yeye,ni sawa sawa na Mtu mwenye degree!TCU mpo?sasa sisi tunamuambia,Kama ni hivyo akaombe kusoma masters Kwenye Chuo chote nchini aone Kama atakubaliwa.
Tunakushukuru sana Bwana Goodluck Sipira kwa kumtetea Temu.Sisi wafanyakasi tuliokuwepo toka ensi sa Samani tunajua Kumburu ameifanyia mambo masuri sana Bodi ya kahawa,ila Kati vitu tutavyomlaani ni kukuajiri wewe Arope wa pili,wewe ni mjinga unayekunywa pombe muda wa Kasi.Temu Yuko Radhi anyonge Mtu ili afaidike yeye.
Hebu tutajieni majina ya wajumbe wa hii bodi walioteuliwa na Chiza baada ya Hawa Sinare kuachia ngazi!!
Oh sasa kumekucha ndani ya bodi hii,sina zaidi la kuwaambia wenzagu hapa jamvini ila la kusema ni POLENI SANA
Kwa kuanzia tu msifikiri mna Mwenyekiti la hasha mwenyekiti ni Kumburu mwenyewe.Mwenyekiti Mr Juma Ngasongwa ni Ngeze mwingine du poleni sana kazi yake hapo ni kusaini kile Ibilisi Kumburu atakachokifanya.
Kwa kuanzia tu ni kwamba kwa njaa aliyokuja nayo Ngasongwa toka kijijini kwao kwa Kumburu imekuwa faida kubwa sana kesha mjaza mahela hivyo hawezi kufanya chochote yeye ni Mr yes Bw Kumburu
Hivyo basi mkakati alioupanga na Kumburu na Bitegeko ni wa kumaliza familia za watu wasiokuwa na makosa umerudi pale pale.Msitegemee msaada wowote ule toka kwa Juma
Kwa wale wa Tawi la Dar nawapeni pole sana mnapewa kipigo kwa ajili ya Asenga kamtafutia kosa kakosa hivyo anaifunga ofisi ya Dar ili Asenga apotee pole Bw Asenga,ofisi hiyo itafunguliwa tena mkishasahau ila Asenga hatakuwepo pale tena
Bw Sipira Goodluck pole sana usipokuwa makini jela utaiona bila shaka minutes za vikao zimebadilishwa na kupelekwa polisi kuhusiana na makaratasi nakushauri nenda kwa raisi ndugu yangu
Rutachweka muda wako wa kustaafu ushakaribia omba kustaafu pre mature la sivyo hali sio nzuri jamaa ana kinyongo kikubwa na wewe hivyo hatakuacha
Engerasia Mongi na wewe nakupa pole sana ukiweza achia ngazi mapema kisu kipo mkononi mwa Kumburu na Bitegeko
Moses Simingwa na wewe nakupa pole sana jitahidi kutafuta kazi mapema kabla hujachinjwa mishale iko kwako utaniambia siku moja
Melkiadi Masawe nawe nakupa pole sana kama elimu iko vizuri lianzishe mwenyewe ingawa tunajua atakataa kukupa kibali cha kuondoka mpaka akudhalilishe kama alivyomnyima Seni the Accountant
Ila Seni nawe lianzishe maana Kumburu atakudhalilisha
Elias Temu nawe nakupa pole sana elimu yenyewe ndio hivyo tena kama unajua biashara kaanze ondoka mapema sana kabla haijawa mbaya
Na Bw Kiangi cheza vizuri ndugu yangu muda wako wa kustaafu ushafika au ondoka mapema kabla haijawa mbaya
Na pia bila kumsahau Primus nawe anza kutafuta pa kukimbilia mapema Bite keshamalisha kazi yake maana kisu nawe kiko mkononi
Haya yote yamefika kutokana na woga na kutokuwa kwetu na ushirikiano ndio tumefikishiwa hapa
Ngasongwa amepitisha barua ya Kumburu kuendelea na kazi kwa kumpa sifa kemkem mtu ambaye hajawahi kufanya nae jiulizeni ni kwa nini pili tujiulize kwa nini Juma alitemwa kwenye uwaziri na kutemwa kwenye Ubunge hapo ukipata jibu ndio utajua Juma Ngasongwa ni nani kwangu mimi namjua ni kapi tu na ndio Kumburu alikuwa anataka mtu wa namna hii na sio Mama Sinare mtamkumbuka sana
Kwa ushauri mdogo tu tuungane kwa pamoja na twendeni kwa haki za binadamu
Kumburu atamaliza tena awamu ya pili akitafuta watu walio chini yake kuwamaliza huku akimwacha mkulima anateseka.Anatumia fedha za wakulima wanyonge hasa zile za exchange rate kuhonga watu na taasisi mbalimbali ili aweze kuumiza watu nashauri tujipange na tuache woga
Tukibaki tukisema tunamwachia Mungu ni ujinga Mungu hasaidii mtu ambaye hafanyi chochote fanya ili na akusaidie kwenye kile akifanyacho
Oremus acha kuandika ujinga na kama uko humu ndani basi na wewe ni kibaraka UNJIKOMBA SIO Kumuru hanaga rafiki Ni kwamba siku za usoni tutaweka elimu zenu za kuunga unga hapa wale mliofell ndani ya nchi na nje ya nchi wale wenye vyeti vya bandia vyote tutaviweka hapa
saa ya ukombozi ni sasa