Pangasonic
Member
- Jan 4, 2018
- 86
- 84
Poleni sana wahanga. R.I.P aliyetangulia mbele ya hakiMkurugenzi Mtendaji wa TBC, Dr. Ayoub Rioba amepata ajali ya gari katika eneo la Mgombe, Kigoma ambapo mtu mmoja amefariki dunia.
Taarifa hizo zimethibitishwa na Kamanda Wa Polisi Mkoa wa Kigoma, OtienoView attachment 720716