Sidhani kama ni speed inaweza kuwa ugeni wa njia, upepo mwingi kwenye tairi na aina ya magurudumuDreva wake alitaka kumuiga Bert Shankland, Hapana shaka chanzo ni speed
Sidhani kama ni speed inaweza kuwa ugeni wa njia, upepo mwingi kwenye tairi na aina ya magurudumuDreva wake alitaka kumuiga Bert Shankland, Hapana shaka chanzo ni speed
tatizo letu la ndani ndo hili... poti poti.....tunaukabila usiozungumzwa...ajali na upoti vinakujaje hapa?Nikiwa mwaka wangu wa pili Chuoni nakumbuka kuna Mzee wangu mmoja hivi na pia alikuwa ni Mwandishi wa Habari ' Mwandamizi ' kabisa nilipomuona tu nilizungumza nae mengi tu ya kuhusu ' Tasnia ' yetu na nikamuambia kuwa ningependa kuja kufanya Kazi Tizama Badilika Chukua Media nikimaliza Masomo yangu.
Huku nikitegemea angenijibu jibu tu la haraka nakumbuka Kwanza aliniangalia kwa huruma kisha akaniuliza nina Umri gani na tatu akaniambia kwamba nifanye Kazi katika Media zote ila nisije kuthubutu kufanya Kazi hapo Tizama Badilika Chukua Media kwani Watu wanapigana mno kama siyo sana ' Ndumba / Fusho / Ulozi / Uchawi / Ola Ola ' na kwamba wapo baadhi walioaga dunia kiajabu kiajabu tu na wapo ambao hadi sasa ' nyaya ' zao Ubongoni mwao zimeachana na ule ' waya ' mkubwa unaopeleka taarifa katika Chumba cha Uelewa na Ufahamu ' timilifu ' kilichopo katika Medulla Oblangata ya Mwanadamu.
Pole sana Mwalimu wangu wa Habari na Mawasiliano, Poti wangu kabisa na mmoja wa Watu ambao walinishawishi mno Mimi kupenda kuwa Mwana ' Tasnia ' Mzee Dr. Ayub Ryoba kwa Ajali hiyo na kunusurika. Pia pole kwa hao waliopoteza maisha ambapo mpaka sasa taarifa zinatukanganya wengine wanasema ni wawili na hapa tunaona ni mmoja. Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu Wewe na hao Wenzako mliopata ' majeraha ' mpone haraka na hao Marehemu basi Roho zao zikae mahala pema peponi Amen.
Usisahau tu ' Poti ' wangu kwenda Nyumbani Tarime mara moja kusalimia kwani umeponea chupuchupu sana huko leo.
Solution ni kuweka lami tu fashta, si lingineTatizo la Kasulu ni barabara kuteleza hata kwa mvua ndogo ya dakika 10.
Kuna ajali nyingi za malori ya mizigo maeneo ya Kasulu nyingi ya ajali hizo zina sababishwa na Utelezi wa barabara pindi magari yanapopishana.
Cha msingi ni kuzitanua barabara hizo na kuondoa side slope kali zinazopelekea magari kuanguka hata kama yakiwa katika speed ndogo.
Mfano mmoja ni juzi tu, kuna Lori lilikuwa limebeba Ng'ombe likiwa linapanda kilima fulani hivi ilibidi utafutwe mchanga kuweka katika mapitio ya taili zake ili kuongeza friction forces kwani taili zilikuwa zinazunguka tu bila ya gari kusogea mbele.
Kipaumbele kiwe Kasulu hadi Kibondo.Solution ni kuweka lami tu fashta, si lingine
Kwa majungu uloanza nayo sidhani kama hiyo pole ataisikiaPole mkurugenzi ingekuwa ni enzi zako ukiwa na akili zako timamu pale UDSM kabla haijapakwa rangi ya kijani wangekupa pole wengi sana kwa upendo na umuhimu wako
Mungu akuponye
Alafu kama kuna kitu vile maana hata polepole aliponyokaHuku Kigoma mnapoenda ombeni Ruhusa kwa Zitto...
Ohh!!
Shauri yenu.
Asikie au asisikie shauri yake mimi nishampa pole tena ya bure kabisa. Kama hataki kupokea pole na aacheKwa majungu uloanza nayo sidhani kama hiyo pole ataisikia
Mugombe Kasulu hiyo, dongo jekunduuuuuu!! Huwa linawatesa sana vijana wa kutoka kwenye lami lazima gari uipige chini tu!!