Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Dangote Mtwara apandishwa kizimbani

Mulongu, ss Watanzania tuna walakin. Ss ndio laughing stock wa Africa. Tuna dhalilika in our own country! This people are and will always take us for a ride. Hv serikali haijui about this kweli? Kama hawajui then they don't deserve to be called a Government. What are they governing exactly? Kama they cannot protect their own citizens, how can we call them a government? I hope Magufuli will deal with this sad chapter
 
huyo jamaa wa immigration leonard igogo ,kwanza anatumia cheti feki jina lake halisi ni paul igogo hilo leonard igogo jina ni la marehemu tuliokuwa mzumbe miaka ya 2000 nafikiri mnamkumbuka!uhamiaji walivyogundua wakamtoa hapa sirari kumpeleka mtwara!
juzi kati kapiga pesa za dangote nasikia anajenga shule.
We mtoto wa RJ Mwasha hivi Leonard alikufa?
 
Kwa hili naunga mkono. Watanzania hawazungumzi wala kuandika Kiswahili. Labda wamekisahau. Hebu soma theads and contributions hapa ndiyo ujue. Hata mimi nikiwa na shule yangu mwalimu wa Kiswahili nitamtoa Haiti!
wewe jamaa umenifurahisha sana hiyo ya swahili teacher kumtoa haiti.
 
huyo namba 3 anasema ni mtaalamu wa geology kumzidi prof muhongo???? jamaa miyeyusho sana,
 
Tuseme ukweli,Watanzania hatuko makini na kazi. Ukitaka kufilisika,ajira wabongo kwenye biashara yako kubwa. Tunaomba kazi kwa machozi,lakini tukishapata ni nyodo,kupiga cha juu,uchelewaji,hatna malengo,ugonjwa kila wakti. Tunapenda kulalamika sana.
Angalia taasisi za serikali kama huduma za afya mf hospitali,zahanati,vituo vya afya vya serikali.Ni majanga.Watumishi,ambao 99.9% ni Watanzania,hawatuhudumii kwa upendo,weledi.Lugha za makaribisho ni balaa.Bado hao watumishi wataiba vifaa na madawa.Linganisha na hosp binafsi mf TMJ,Regency,Hindu Mandal nk.
Njoo kwenye shule za serikali,ni majanga.
Watanzania hatuko tayari kwa ushindani wa ajira.Bado tutapigwa sana. Tukienda kwenye semina za mafunzo,tunang'ang'ania posho badala ya cheti cha mafunzo ili kuongeza CV. Hatuko tayari kujilipia semina na mafunzo mbali mbali.
nikweli kabisa uyasemayo je mtoto akinyea mkono utaukata
 
Tuseme ukweli,Watanzania hatuko makini na kazi. Ukitaka kufilisika,ajira wabongo kwenye biashara yako kubwa. Tunaomba kazi kwa machozi,lakini tukishapata ni nyodo,kupiga cha juu,uchelewaji,hatna malengo,ugonjwa kila wakti. Tunapenda kulalamika sana.
Angalia taasisi za serikali kama huduma za afya mf hospitali,zahanati,vituo vya afya vya serikali.Ni majanga.Watumishi,ambao 99.9% ni Watanzania,hawatuhudumii kwa upendo,weledi.Lugha za makaribisho ni balaa.Bado hao watumishi wataiba vifaa na madawa.Linganisha na hosp binafsi mf TMJ,Regency,Hindu Mandal nk.
Njoo kwenye shule za serikali,ni majanga.
Watanzania hatuko tayari kwa ushindani wa ajira.Bado tutapigwa sana. Tukienda kwenye semina za mafunzo,tunang'ang'ania posho badala ya cheti cha mafunzo ili kuongeza CV. Hatuko tayari kujilipia semina na mafunzo mbali mbali.
Weka conclusion basi; kwamba kwa maelezo yako, watanzania watumike tu kupiga kura na kuiweka serikali madarakani, ila ajira wasipewe aslani, bali wapewe raia wa nje. Malizia mkuu, ha ari yako bado ni inconclusive
 
Kweli mkuu waende huko kama FEZA hata mwalimu wa somo la kiswahili mturuki

Dah hii ni hatari... Mturuki kufundisha somo la kiswahili??? Mkuu nahisi hapa umetia chumvi.
Ila ni ukweli mtupu nchi yetu ilishageuka shamba la bibi... eti unakuta Kampuni ina Marketing Manager na HR Manager kutoka nje ya nchi.
 
Unaongea dangote hata kwa mzee machache pia kwenye media na maji kuna wahindi na wakenya wengi sana, imashangaza media inaajiri mkenya au mganda kisa anajua kiingereza wapo vijana wanaweza. Hizi PR and advertising companies pia zina wageni wengi,International schools kama DIS,FEZA,FRENCH SCHOOL na nyingine nyingi zina wageni,Kampuni za mafuta Total,haliburton,statoil,oryx,gapco, mahoteli serena,southernsun,hyatt,fourseason,singitagrumeti,capetownfishmarket,seacliff,ramada,whitesands,ledgerbaharibeach,kunduchi. Nimewahi kwenda aghakhan nikahudumiwa na dr mghana na nikamhoji yuko hapa bongo na mumewe mghana, wanaigeria ndio mtaani wanazidi kuongezeka, wapite smile communication,airtel,tigo,zantel.
Pale tripple 7 bar tu wakivamia na kufatilia uraia watakuta matapeli wengi raia wa nje, fm academia ikipigwa waende. Sijui kwanini bongo police haruhusiwi kuuliza id yako

Mkuu inatubidi kila mmoja kutumbua jipu pale unapokuwa na uhakika nalo! Badala ya kudandia mada ya mwenzio nakushauri uanzishe mada yako kuhusu hilo jipu la Mengi na media houses zake, na uweke taarifa za kutosheleza kwa huyu muungwana alivyofanya! Kuwa mzalendo kwa nchi yako, chukua hatua stahiki!
 
Adui wa Tanzania ni Watanzania wenyewe angalia hawa raia wa kigeni karibia wote wanaoishi kinyume cha sheria wanasaidiwa na Watanzania wenyewe.
Hata wangeripotiwa hatua zisingechukuliwa kwa namna serikali ilikuwa inaendeshwa,utawala huu kidogo tunaona tofauti
 
Mi nashauri wizara ya mambo ya ndani waweke portal ya sisi raia wema kureport hawa wageni. Watu tunajua mengi lakini tunashindwa tutaenda kusemea wapi? Mtu aende Uhamiaji wanapopokea rushwa kutoa habari kama hii, haki ya nani hamalizi week 2 utasikia kapigwa risasi kafariki na watu wasiojulikana.

Kwanini serikali isifaidike na maendeleo ya kimawasiliano. Waeke portal watu watiririke......kuna wahindi, wakenya, waganda, na wachina wengi tu humu wanazurura bila vibali na wanafanya kazi ambazo mimi na wewe mtanzania mwezangu tunazimudu.
 
Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha saruji cha Dangote Mtwara amefikishwa mahakamani leo 08/12/2015 kwa kosa la kuishi nchini bila kibali na kuwadharau maofisa wa serikali (Uhamiaji).

Mkurugenzi huyo raia wa India, anaesemekana amekuwepo nchini zaidi ya miaka 5 sasa bila kibali halali na bila kulipa gharama zinazojulikana kwa jina la CTA-Fees (USD 250 @ mhindi na mchina aliepo Dangote ambao ni zaidi ya 300) na USD 600 @ special fee, pesa hizo za CTA ambazo zinakadiriwa kufika USD 5Million sawa na zaidi ya Billion 10TZS ambazo zilishatolewaa/zinaatolewa mara kwa mara na Dangote makao makuu lakini zimekua hazifiki serikalini na kuishia mikononi mwa maafisa wachache wa uhamiaji wasio waaminifu ("kilisema chanzo icho chaa habari" kikimtaja afisa mmoja wa uhamiaji kwa jina la Leonard Igogo wa Ofisi za Uhamiaji Mtwara akishirikiaana na wenzie).

Pamoja na raia uyo wa India uhamiaji pia inamtafuta Mkurugenzi wa Fedha wa Dangote Mtwara aliejulikana kwa jina la Tolukisinzi kwa kuruhusu pesa hizo kulipwa kienyeji.

Pamoja na kukamatwa kwa muhindi huyo bado idara ya uhamiaji mtwara na wizara ya kazi zinalalamikiwa kwa kutofanya kazi zao inavyopaswa-kiasi cha kuruhusu raia wengi wa kigeni kiwandani hapo ambao wengi wao wanafanya kazi za ukarani lakini vibali vyao vinaonyesha kua ni mainjinia wa kihindi, majina yao na kazi zao ni kama ifuaatavyo:-
1. Selevam mkubwa - store keeper
2. Sanitosi - mjaza mafuta na mtunza rekodi za mafuta (aliedanganya kua ni engineer wa miamba zaidi ya Prof. Mhongo).
3. John Olakoni (raia wa naijeria) jeolojist mwenye diploma uyu yupo Tanzania toka 2006. Sasa sijui amepewa uraia Tayari?
4. Sura Red - fundi magari.
5. Panti - huyu hana ata vibali kwa taarifa tulizopata kutoka kwa watu wake wa karibu.
6. Selvam mdogo - uyu ni clearing agent wa mizigo ya kiwanda cha dangote kipenzi cha wafanyakazi wa bandari ya Mtwara.
7. Pushpenda - afisa mauzo
8. Dipa Nandi - electrical technician
9. Kumar Rakishe - godown officer
10. Satiyan - mechanical assistant
11. Narayani - mtunza store na records assistant
12. Manuji - mpasua miamba
13. Aravinda - mpima diseli

Orodha nyengine nitawaletea ikipatikana, ila kwa kuanzia Waziri Mavunde, Kitwanga, Simbachawene wanaweza kuanza na hao ambao ni robo theluthi ya raia hao wanaofanyakazi zinazowezwa kufwanya kwa ufasaha zaidi na WATANZANIA

Narayani Aravinda - uyu nae ni store ofisa na mtunza rekodi.
Yote haya yalifanyika wakati wa JK. What a worst president in our history!
 
Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha saruji cha Dangote Mtwara amefikishwa mahakamani leo 08/12/2015 kwa kosa la kuishi nchini bila kibali na kuwadharau maofisa wa serikali (Uhamiaji).

Mkurugenzi huyo raia wa India, anaesemekana amekuwepo nchini zaidi ya miaka 5 sasa bila kibali halali na bila kulipa gharama zinazojulikana kwa jina la CTA-Fees (USD 250 @ mhindi na mchina aliepo Dangote ambao ni zaidi ya 300) na USD 600 @ special fee, pesa hizo za CTA ambazo zinakadiriwa kufika USD 5Million sawa na zaidi ya Billion 10TZS ambazo zilishatolewaa/zinaatolewa mara kwa mara na Dangote makao makuu lakini zimekua hazifiki serikalini na kuishia mikononi mwa maafisa wachache wa uhamiaji wasio waaminifu ("kilisema chanzo icho chaa habari" kikimtaja afisa mmoja wa uhamiaji kwa jina la Leonard Igogo wa Ofisi za Uhamiaji Mtwara akishirikiaana na wenzie).

Pamoja na raia uyo wa India uhamiaji pia inamtafuta Mkurugenzi wa Fedha wa Dangote Mtwara aliejulikana kwa jina la Tolukisinzi kwa kuruhusu pesa hizo kulipwa kienyeji.

Pamoja na kukamatwa kwa muhindi huyo bado idara ya uhamiaji mtwara na wizara ya kazi zinalalamikiwa kwa kutofanya kazi zao inavyopaswa-kiasi cha kuruhusu raia wengi wa kigeni kiwandani hapo ambao wengi wao wanafanya kazi za ukarani lakini vibali vyao vinaonyesha kua ni mainjinia wa kihindi, majina yao na kazi zao ni kama ifuaatavyo:-
1. Selevam mkubwa - store keeper
2. Sanitosi - mjaza mafuta na mtunza rekodi za mafuta (aliedanganya kua ni engineer wa miamba zaidi ya Prof. Mhongo).
3. John Olakoni (raia wa naijeria) jeolojist mwenye diploma uyu yupo Tanzania toka 2006. Sasa sijui amepewa uraia Tayari?
4. Sura Red - fundi magari.
5. Panti - huyu hana ata vibali kwa taarifa tulizopata kutoka kwa watu wake wa karibu.
6. Selvam mdogo - uyu ni clearing agent wa mizigo ya kiwanda cha dangote kipenzi cha wafanyakazi wa bandari ya Mtwara.
7. Pushpenda - afisa mauzo
8. Dipa Nandi - electrical technician
9. Kumar Rakishe - godown officer
10. Satiyan - mechanical assistant
11. Narayani - mtunza store na records assistant
12. Manuji - mpasua miamba
13. Aravinda - mpima diseli

Orodha nyengine nitawaletea ikipatikana, ila kwa kuanzia Waziri Mavunde, Kitwanga, Simbachawene wanaweza kuanza na hao ambao ni robo theluthi ya raia hao wanaofanyakazi zinazowezwa kufwanya kwa ufasaha zaidi na WATANZANIA

Narayani Aravinda - uyu nae ni store ofisa na mtunza rekodi.
Kwa jinsi mfuko wa huju dangote sijui kama hawa jamaa hawakutumbukizwa mifukoni alafu hao jamaa waendelee kupeta
 
Back
Top Bottom