Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,044
- 8,165
Huyu madame kashakuwa chawa🤣🤣
Ateuliwe unaibu Waziri - Katiba na Sheria kuziba pengo la mdhalilishaji vijana Kwa kuwawekea chupa njia kuuHuyo dada apelekewe Serikalini itapendeza
Hawezi kukubali hata kama ingekuwa ni Mimi natokaje Benki!!Ateuliwe unaibu Waziri - Katiba na Sheria kuziba pengo la mdhalilishaji vijana Kwa kuwawekea chupa njia kuu
nani?Huyu madame kashakuwa chawa🤣🤣
Dotto jembe sanaView attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........
Mungu ibariki NMB,View attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........
Mkoa wa Ruvuma,wilaya ya NamtumboHiki Kijiji kipo wapi?
Namtumbo, RuvumaNdio wapi huko mkuu?
NMB iko poa sana Tatizo mkwanja tuView attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........
Sahihi kabisa, Noti zitafitwe zipelekwe NMBNMB iko poa sana Tatizo mkwanja tu
Hello Jf,View attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........
Sahihi kabisa,Hello Jf,
Tatizo kubwa hivi Sasa la bank zetu ni riba kubwa,
Riba ni kati ya 9 hadi 30% kulingana na bank na aina ya mkopo unaokopa,
Kuna haja ya BOT kufanya standardization ya hizi riba,
Walau riba zibaki kuwa single digit
NMB tunawapongeza japo mnatakiwa kushusha zaidi riba zenu,
Ni Mimi tajiri la Bitcon,
sasa huyo dada kukutana na doto sisi inatuhusu nini?View attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........
Kwani lazima ikuhususasa huyo dada kukutana na doto sisi inatuhusu nini?
Pete zimechakaa tu nadhani.Halafu hao wadada ni warembo kweli, na hawana pete! Hivi vijana waoaji wako wapi?