Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,157
Ujanja ni nyie kufanya janja janja na kukwepa kodi?.Usikoment kitu kwa kuangalia upande wako unakuwa kama unaugua tezi dume ya kichwa!Sasa ujanja mpka tufunge biashara zetu au mpaka tufilisike.Usikoment kitu usichokijua unakuwa kama unaugua fistula ya kichwa.