Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) ana mtihani mkubwa sana akifanikisha hili anastahili tuzo

Sasa ujanja mpka tufunge biashara zetu au mpaka tufilisike.Usikoment kitu usichokijua unakuwa kama unaugua fistula ya kichwa.
Ujanja ni nyie kufanya janja janja na kukwepa kodi?.Usikoment kitu kwa kuangalia upande wako unakuwa kama unaugua tezi dume ya kichwa!
 
Eti mfanyabiashara badala ya kuwasilisha VAT serikalini kwa wakati badala yake wanafanya udanganyifu kwa kutumia ghost receipts za manunuzi za kugushi ili wasilipe VAT

Wakaenda mbali zaidi kwa kudai refund toka serikalini , fikiria

Yani kuna wafanyabiashara walikuwa wanaiibia serikalini mara mbili.

Kwanza VAT alokuwa awasilishe serikalini hapeleki na anajifanya kudai refund kwa hiyo wizi mara 2.

Sasa kwa muktadha huo maelekezo yakitolewa kurudi miaka 8-10 nyuma kuna tatizo gani hao watu kukaguliwa na kurudisha pesa za Umma alizoiba kwa maslahi ya Umma?

Tusidanganyike wafanyabiashara nawashauri tuzingatie compliance jamani.
 
Tena wafanyabiashara wakijisahau wakaacha kulipa kodi stahiki wajue wakati utakuja hali ya hewa itakapobadilika na upepo wa kimbunga ambapo anaweza kuja kiongozi kama yule akaelekeza kurudi miaka 10 nyuma au zaidi .

Na mimi nitamuelewa kwa kuzingatia na kutanguliza maslahi ya Umma mbele.

Tutafakali sana.
 
Shida nyie wafanya biashara mna ujanja mwingi sana,huwa hampendi kulipa kodi,mnapenda mpate faida tu,ndo maana hata zile mashine za EFD zilipokuja mlilalamika sana kwa kisingizio eti zinauzwa bei ya juu,bado hamkuweza kutoa list ya EFD zaid ya kutuandikia kwenye makaratasi, asilimia kubwa ya wafanya biashara wa Tanzania janja janja ni nyingi mno na ujuaji ni mwingi mno,mnapenda mpate faida tu pasipo kutoa kodi,mkibanwa kidogo tu kelele kibao,acheni ujanja lipeni kodi,mbona sisi wafanyakazi serikalini tunalipa kodi kubwa tu tena zaid ya mfanya biashara mkubwa!
Wewe ni tumbili tu.
Unajua kuandika hilo neno EFD kwa sababu wazazi wako walijifunga mkanda wakakupeleka shule.
We Baba yako huko kijijini amesoma wapi?Mama yako amesoma wapi?

Elimu ya Wafanyabishara siyo hiyo ya kwako ya square root...

Halafu ukute Baba yako pengine ni Kinyozi na anatumia umeme ambao unakatika kila baada ya masaa mawili,nikuulize,kazi ya kusambaza huo Umeme ilikuwa kazi ya Baba yako?

Hayo maumivu ya kukosekana kwa Umeme ambayo ndo biashara msingi ya Baba yako nani anamsaidia?
Ni kosa la nani?
Kwani huo si mfano mdogo tu...?

Ati mjanja mjanja!!!

People like you are like monkeys on the trees.....!
 
Kuna jamaa mmoja Mpemba kariakoo anauza vifaa vya umeme kwa bei ya jumla. Hata ukinunua vifaa vya milioni 3 lazima akupe risiti ya EFD wafanyabiashara wote wangekuwa kama huyu TRA wasingesumbuka kufungia biashara za watu
Ni kweli bongo voluntary compliance level iko chini sana kuliko maelezo, sasa wanapotaka kuzuia level of enforcements iwe chini kabisa maana yake itaweza kupelekea hali ikawa worse ktk makusanyo.

Advanced countries level of voluntary compliance iko juu sana kiasi kwamba haihitaji enforcements efforts kubwa katika kukusanya mapato ya serikali.

Mleta mada una hoja ya msingi isipokuwa hujagusa hasa mambo ya msingi.

Hata hivyo umethubutu.

Eti mfanyabiashara badala ya kuwasilisha VAT serikalini kwa wakati badala yake wanafanya udanganyifu kwa kutumia ghost receipts za manunuzi za kugushi ili wasilipe VAT

Wakaenda mbali zaidi kwa kudai refund toka serikalini , fikiria

Yani kuna wafanyabiashara walikuwa wanaiibia serikalini mara mbili.

Kwanza VAT alokuwa awasilishe serikalini hapeleki na anajifanya kudai refund kwa hiyo wizi mara 2.

Sasa kwa muktadha huo maelekezo yakitolewa kurudi miaka 8-10 nyuma kuna tatizo gani hao watu kukaguliwa na kurudisha pesa za Umma alizoiba kwa maslahi ya Umma?

Tusidanganyike wafanyabiashara nawashauri tuzingatie compliance jamani.
 
Wewe ni tumbili tu.
Unajua kuandika hilo neno EFD kwa sababu wazazi wako walijifunga mkanda wakakupeleka shule.
We Baba yako huko kijijini amesoma wapi?Mama yako amesoma wapi?

Elimu ya Wafanyabishara siyo hiyo ya kwako ya square root...

Halafu ukute Baba yako pengine ni Kinyozi na anatumia umeme ambao unakatika kila baada ya masaa mawili,nikuulize,kazi ya kusambaza huo Umeme ilikuwa kazi ya Baba yako?

Hayo maumivu ya kukosekana kwa Umeme ambayo ndo biashara msingi ya Baba yako nani anamsaidia?
Ni kosa la nani?
Kwani huo si mfano mdogo tu...?

Ati mjanja mjanja!!!

People like you are like monkeys on the trees.....!
Kufanya arguments na wewe ni upumbavu wa hali ya juu,ulichokiandika inaonesha kabisa wewe ni mtu wa mipasho asie na lolote kichwani,na shule ambayo wazazi wako walikupeleka ni ya kujifunza mipasho na nyimbo za taarabu so huwezi jenga hoja zaidi ya kutukana ukizani kwamba ndo suluhisho la upungufu wako wa akili kichwani!
 
Kwa nchi hii kiuhalisia inafundisha yenyewe ujanja watu. Mifumo haikupi uhuru wa kulipa kodi kiuhalisia. Mfano tuanze na hiyo mashine. Wakati zinaingia wakadanganya kwamba nunueni hizo mashine then mtarudishiwa kidogo kidogo kwenye kodi,lakini sina uhakika kama wapo hata mmoja alierudishiwa.
Halafu mashine zenyewe ni gharama. Laki 8. Haijalishi una mtaji wa kiasi gani. Kiuhalisia hizi mashine,ksbb wewe serikali unataka watu waingie kwenye huo mfumo,basi wagawie bure watu. Ili uwavute waingie kwa wingi,wagawie bure,andaa mazingira ya utengenezaji hizo kila mahala ziliko.
Sasa hizo mashine ukishanunua laki 8.,bado matengenezo ni juu yako. Kwa mfano wilayani kote hakuna mafundi wa hizo mashine. Ikiharibika lazima ufunge duka ukaitengeneze mkoani. Unafika kule mkoani inabidi uisubiri mpaka itengemae unakuta siku 2. Fikiria hizo gharama. Na mashine zenyewe mbovu zinaharibika haribika. Ukija upande wa risit,ukitoa risit 100% lazima ufirisike kwa mfumo wetu. “Nimechoka kuandika mkuu,nitarudi nikuambie kwa nini ufirisike”
Kulipa Kodi ni lazima sio ombi..!
Tukianza kuchukulia kama kulipa kodi sio lazima tutayumba kama Taifa.

Naomba kukuomba uweke mapungufu waliyonayo Wafanyabiashara kwenye kulipa kodi.
 
Nadhani kitu kinachokosekana kwa wafanya biadhara wengi ni elimu ya kodi nina mwaka wa nne nikifanya biashara ya kusupply vitu mbali mbali kwa kuomba tenda kwenye makampuni na taasisi za serikali na binafsi ,kinachonisaidia ni elimu kubwa ya kodi niliyonayo na TRA wananifahamu myukano unakuwa mkubwa sana ujinga wowote unapoletwa kwenye kazi yangu ,sijawai kuongezewa wala kupunguziwa kodi,wala kuumizwa na kodi ,tunakwenda sawasawa .Nachotaka kujua kwanini ukitoa risiti unafirisika? Wakati kiuhalisia sio wewe unaelipa kodi Bali wateja wako?
Wanaokwepa kodi asilimja kubwa wanajua kuwa wanatakiwa kulipa kodi
 
Kodi iwe reasonable inayolipika na isiwe komozi.Chukua kidogo Ili kesho uchukue tena kuliko kukausha damu yote unapata nyingi mara moja ila kesho upati tena.Pili kodi ikiwa kubwa usababisha ukwepaji Kodi kuwa Mkubwa.
Kwani kuna kodi ambayo haikuwepo kipindi cha JK imekuja kuibuka kipindi cha Magu?
 
Kwani kuna kodi ambayo haikuwepo kipindi cha JK imekuja kuibuka kipindi cha Magu?
Nakumbuka Magufuli alikaa na wafanyabiashara wote, pia alikaa na watu wa madini. Walitoa mapendekezo yao na yalifanyiwa kazi. Hawa wengi wanaolalamika in wakwepa kodi janja janja nyingi.
 
Kuna siku nilikuwa kwa muhindi mmoja k/koo. Dukani pale nilinunua feni, pasi ya umeme na vitu vingine vichache jumla ilikuwa kama laki 2.2
Baada ya kuniwekea kwenye mfuko naona muhindi anajizungusha tu, Mimi nimetulia namuangalia mwisho wake, naona akashtuka akanipa risiti ya EFD yenye thamani ya elfu 20 na tarehe ya nyuma. Nikamwambia hii sio yangu naomba risiti yangu. Akaanza Boss hivi vitu tumekupunguzia bei sana blah blah kibao ila nikakomaa nae
Kumbe hata hujui utaratibu wa kulipa kodi?!!nani alikwambia kuwa kodi inakadiriwa kutokana na mzigo ulio nao dukani?!!hahaaa?yaani mfanyabiashara kama muhindi ambaye ni mkusanyaji kodi ya ongezeko la thamani(VAT)akakadiliwe kodi dukani!!!??kwani mbona kama vile mmeumia sana kwa mheshimiwa kusema kuwa kodi sasa ikusanywe kwa stahaa?!!mataga BWANA!!!
 
Kama ameweza kujenga miradi ya trillions of money,kukarabati shule na vyuo kongwe,kujenga vituo vya afya,masomo,vituo vya mabasi,hospital za wilaya,hospitali za mikoa na kanda,ukarabati wa meli,kununua ndege 11,kujenga miundo mbinu nyingi,na kulikuwa na upigaji ule basi niishie tu kusema jamaa alikuwa shujaa
Deni la Taifa limeongezeka tshs ngapi?
 
Kuna siku nilikuwa kwa muhindi mmoja k/koo. Dukani pale nilinunua feni, pasi ya umeme na vitu vingine vichache jumla ilikuwa kama laki 2.2
Baada ya kuniwekea kwenye mfuko naona muhindi anajizungusha tu, Mimi nimetulia namuangalia mwisho wake, naona akashtuka akanipa risiti ya EFD yenye thamani ya elfu 20 na tarehe ya nyuma. Nikamwambia hii sio yangu naomba risiti yangu. Akaanza Boss hivi vitu tumekupunguzia bei sana blah blah kibao ila nikakomaa nae
Huu ndiyo ukweli, asilimia kubwa ya wafanyabiashara hawalipi kodi.
 
Shida nyie wafanya biashara mna ujanja mwingi sana,huwa hampendi kulipa kodi,mnapenda mpate faida tu,ndo maana hata zile mashine za EFD zilipokuja mlilalamika sana kwa kisingizio eti zinauzwa bei ya juu,bado hamkuweza kutoa list ya EFD zaid ya kutuandikia kwenye makaratasi, asilimia kubwa ya wafanya biashara wa Tanzania janja janja ni nyingi mno na ujuaji ni mwingi mno,mnapenda mpate faida tu pasipo kutoa kodi,mkibanwa kidogo tu kelele kibao,acheni ujanja lipeni kodi,mbona sisi wafanyakazi serikalini tunalipa kodi kubwa tu tena zaid ya mfanya biashara mkubwa!
uzuri anaeumia ni mwananchi mfanyabiashara anaangalia faida yake 18% unalipia mnunuzi
 
Shida nyie wafanya biashara mna ujanja mwingi sana,huwa hampendi kulipa kodi,mnapenda mpate faida tu,ndo maana hata zile mashine za EFD zilipokuja mlilalamika sana kwa kisingizio eti zinauzwa bei ya juu,bado hamkuweza kutoa list ya EFD zaid ya kutuandikia kwenye makaratasi, asilimia kubwa ya wafanya biashara wa Tanzania janja janja ni nyingi mno na ujuaji ni mwingi mno,mnapenda mpate faida tu pasipo kutoa kodi,mkibanwa kidogo tu kelele kibao,acheni ujanja lipeni kodi,mbona sisi wafanyakazi serikalini tunalipa kodi kubwa tu tena zaid ya mfanya biashara mkubwa!
Pitia ripoti ya CAG utaona hata mashirika na taasisi za serikali "zinakwepa" kodi! Sisemi ni jambo zuri ila kodi inatakiwa ilipike....zikiwa kubwa mno kiliko uwezo wa watu kilipa ni tatizo (hii hata JPM alilisema na karibu Rais wa ZnZ.....)

Ni kweli CG ana kazi kubwa.....sheria zipo azitumie kwa busara ili na kesho kuwe na sehemu ya kukusanya. Hakuna maana kukusanya kodi nyingi leo na hapo hapo unauwa biashara na kupoteza ajira za watu......
 
Nyingi tu zimebuniwa kwenye vyanzo vile vile vya kodi.Hadi wafanyabiashara wakakimbia nchi,labda kama wwe ni mgeni.
Nitajie kodi ambayo haikuwepo kipindi cha JK ikaja kuletwa kipindi cha Magu
 
Pitia ripoti ya CAG utaona hata mashitika na taasisi za serikali "zinakwepa" kodi! Ni kweli CG ana kazi kubwa.....sheria zipo azitimie kwa busara ili na kesho kuwe na sehemu ya kukusanya. Hakuna maana kukusanya kodi nyingi leo na hapo hapo unauwa biashara na kupoteza ajira za watu......
Nakuelewa vizuri lakini kumbuka bila nchi kukusanya kodi inayotoshereza haiwezi kwenda!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Back
Top Bottom