ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,051
- 49,736
Mamlaka ya mapato Nchini TRA imesema imefanikiwa kukusanya kiasi tajwa hapo Juu ikiwa ni Ufanisi wa zaidi ya 97% ya lengo na Ongezeko la mapato ghafi Kwa Zaidi ya Asilimia 11% ikilinganishwa na Mwaka Jana.
Kwa hesabu hizo Sasa TRA wanakusanya wastani wa Shilingi Trilioni 2.2 kwa mwezi Toka wastani wa sh.1.5 Kwa mwezi mwaka 2020/2021.
Kwa miaka 3 mama ameongeza bil.700 Kila mwezi.Hii ni rekodi ambayo haijawahi fikiwa na Rais yeyote kabla.
Kazi iendelee,bila mdomo na kujitutumua ila kazi inafanyika.
Walipakodi wote tujipongeze,kulipa Kodi ni uzalendo.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1709141930062331946?t=eew0BSFkXkf_-yZZSfUPPA&s=19
Kwa hesabu hizo Sasa TRA wanakusanya wastani wa Shilingi Trilioni 2.2 kwa mwezi Toka wastani wa sh.1.5 Kwa mwezi mwaka 2020/2021.
Kwa miaka 3 mama ameongeza bil.700 Kila mwezi.Hii ni rekodi ambayo haijawahi fikiwa na Rais yeyote kabla.
Kazi iendelee,bila mdomo na kujitutumua ila kazi inafanyika.
Walipakodi wote tujipongeze,kulipa Kodi ni uzalendo.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1709141930062331946?t=eew0BSFkXkf_-yZZSfUPPA&s=19