Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,050
- 16,538
Kazi nzuri,ila huko TPA ni moja kati ya sehemu nyingi zenye uozo katika uwajibikaji,yaani ni ubabaishaji mtupu,just imagine tulikua tunategemewa na majirani katika kuingiza na kutoa mizigo lakini kutokana na uzembe hawa jamaa tumekimbiwa! Ngoja tuone mwisho wa picha!