kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
kamsimamisha pia Port Manager dar. kwa ujumla waliosimamishwa ni wanane pamoja na DG
Mzee iweke orodha yao vizuri ili tuwafahamu. Katika hao ambao tayari wametajwa nashukuru mjomba wangu hayumo. Malizia hao wengine mzee.