babujii
Member
- Apr 5, 2012
- 95
- 12
kuna tetesi kwamba Mkurungenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari amesimamishwa kazi..kuna mtu mwenye taarifa?
UPDATES:
Waziri wa Uchukuzi Tanzania Dk. Harisson Mwakyembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA Ephrahim Mgawe pamoja na wasaidizi wake wawili.
SOURCE : East Africa TV
Kwa Maelezo zaidi:-[Hongera mwakyembe tunakuona mwalafyale ukivuja jasho kwa ajili ya watoto wa tanzania, naomba mshauri mwezio wa Elimu Dr. Kawambwa asilale, mambo sio mambo katika taasisi zilizo katika wizara yake hususani VETA]