Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 265
- 240
Huyu jamaa ni mkiburi kishenzi - yaani anaonesha ukatili wa wazi wazi kwa sababu kazi ake imekuwa ni kuiteka Bodi yake na kujikomba kwa Mawaziri mpaka Makatibu wakuu.
Huyu analazimisha ili watoto wa shule fulani waweze kupata bima ya matibabu eti mpaka idadi yao ifike 50 na kuendelea.
Huyu hajui kwamba kuna shule zina watoto 20 tu. Amezuia hata wale watoto ambao tayari walikuwa na bima wasirenew bima zao ati kwa kuwa shule aliyoenda mtoto husika hawajasajili zaidi ya watoto 50.
Huyu mtu amelewa madaraka na ni mkiburi sana. Ukiwa naye hata katika vikao wanapokuwepo viongozi basi hata namna ya ukaaji wake hamna hata unyenyekevu - yaani anajiweka kama Mungu Mtu, Ningemshauri kwa umri wake ule awe humble, ajiweke katika nafasi ya jamii ya hali ya chini. Sivyo huyu mtu hana utu - na hafai kabisa kuongoza taasisi kama ile inayopaswa kutanguliza huruma mbele.
NHIF ni watoa huduma, si michango tu ya wanachama bali hata kodi za WaTanzania inatumika kufikisha huduma hizo kwetu.
Huyu mtu asipojirekebisha anaumiza wengi na ndiyo chanzo cha kufanya Ummy alalamikiwe.
Huyu analazimisha ili watoto wa shule fulani waweze kupata bima ya matibabu eti mpaka idadi yao ifike 50 na kuendelea.
Huyu hajui kwamba kuna shule zina watoto 20 tu. Amezuia hata wale watoto ambao tayari walikuwa na bima wasirenew bima zao ati kwa kuwa shule aliyoenda mtoto husika hawajasajili zaidi ya watoto 50.
Huyu mtu amelewa madaraka na ni mkiburi sana. Ukiwa naye hata katika vikao wanapokuwepo viongozi basi hata namna ya ukaaji wake hamna hata unyenyekevu - yaani anajiweka kama Mungu Mtu, Ningemshauri kwa umri wake ule awe humble, ajiweke katika nafasi ya jamii ya hali ya chini. Sivyo huyu mtu hana utu - na hafai kabisa kuongoza taasisi kama ile inayopaswa kutanguliza huruma mbele.
NHIF ni watoa huduma, si michango tu ya wanachama bali hata kodi za WaTanzania inatumika kufikisha huduma hizo kwetu.
Huyu mtu asipojirekebisha anaumiza wengi na ndiyo chanzo cha kufanya Ummy alalamikiwe.