Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,534
- 2,492
Hebu weka upunguani wake hapa...Huyu ni punguani Mkurungezi acha atumike na CCM.
Hebu weka upunguani wake hapa...Huyu ni punguani Mkurungezi acha atumike na CCM.
Akiongea na waandishi wa habari mkurugenzi huyo amedai wafanyabiashara wanatumika tu kuna watu wapo nyuma ya hayo maandamano na vurugu! Wakati huo huo Kandoro amewapiga mkwara wanaoleta vurugu kuwa watakutana na mkono wa sheria.Watu zaidi ya 200 wamekamatwa huku watu 12 wakiwa wamejeruhiwa watano wakiwa wamejeruhiwa kwa risasi,Polisi wawili wamejeruhiwa pia!
Biashara bila mpangilio ni vurugu. Ni vema washanyabiashara ndogondogo wakafuata taratibu zilizowekwa kwa sehemu za kuweza kufanya biashara zao. Hii ya kupanga biashara zao hadi barabarani sio sahihi kabisa zaidi ni bugudha kubwa kwa watembeo kwa miguu na sio salama hata kwao wenyewe.
Hebu weka upunguani wake hapa...
Polisi waendelee kutoa kipigo kikali na kuwakamata wale wote wanaofanya vurugu.nchi hii hatuwezi kuona inavurugwa na wanasiasa kwa uroho wao wa madaraka.Rais ni KIKWETE CDM wanapaswa kufaham hilo waache kuratibu vurugu hapa nchini za kumuondoa J.K madarakani.
I fkn second that!!Polisi waendelee kutoa kipigo kikali na kuwakamata wale wote wanaofanya vurugu.nchi hii hatuwezi kuona inavurugwa na wanasiasa kwa uroho wao wa madaraka.Rais ni KIKWETE CDM wanapaswa kufaham hilo waache kuratibu vurugu hapa nchini za kumuondoa J.K madarakani.
Kama wamachinga wanasema hivyo, hii ni hatua nzuri sana katika suala zima la kupanga mji. Hivyo ni jukumu la Halmashauri yao kuona wafanyabiashara hao watapewa eneo lipi lilio salama kwao na kwa wateja wao.kaka unachosema ni sahihi hata mmachinga ukimkuta anasema wanipangie sehemu niitakayo nitakwenda bila shuruti. Lakini tatizo la watawala wanataka kuwaondoa wa2 kwa nguvu aka ubabe bila kuwaonesha wapi waende.
chadema unscrupulous politicians are conspiring with bandits to launch violent demonstrations in order to confront the ruling party from implenting its election manifesto. We have recently witnessed a series of manipulated rallies and demonstration which are engineered for the purpose of making it difficult for the government to execute its development duties. As a result the government is now unnecessarily forced to relocate its budget funds and commit them to expenses incurred by security forces while dealing with chadema violent protesters which in turn will have a disastrous effect to the country's economy wellbeing. As far as i can see, i still believe that chadema leaders are capable of helping our government to build our country's future and can do better than choreographing needless rallies and demonstrations which are of no help to an average citizen.
kichwa boga sasa chadema wameingiaje au kazi yenu nikuipaisha cdm shem on u magambaaz
Masaburi at work!
Kama wamachinga wanasema hivyo, hii ni hatua nzuri sana katika suala zima la kupanga mji. Hivyo ni jukumu la Halmashauri yao kuona wafanyabiashara hao watapewa eneo lipi lilio salama kwao na kwa wateja wao.
Ukiangalia kwa juu juu ama kwa haraka haraka pale Mwanjelwa hakuna nafasi hiyo kwa wingi wao. Hii ni challenge kwa Halmashauri yao, aidha tabia ya Umachanga ni kufanya biashara kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu. Iwapo hakuna nafasi hiyo, wanaweza kabisa kuwaacha hapo hapo na kuwashauri kufanya biashara zao katika siku kadhaa tu katika wiki, mfano kama biashara za product za mashambani pale Kiwira.
Unapozungumzia viongozi, na hasa katika halmashauri, ni kuanzia ngazi ya Udiwani. Leo diwani anaitwa mheshimiwa. Hapa tayali amejiweka mbali sana na wananchi wake, hivyo ni rahisi sana kufanya ufisadi wa namna hiyo.Mkuu Ni Utaratibu gani unaotaka kufuatwa? Viongozi wetu wabaya sana Mkuu na wamewaonea hawa jamaa kwa Muda Mrefu sana! Hawa jamaa walijenga Machinga Complex halafu wakajigawia wenyewe vile vyumba vya Biashara sasa wanawapangishia Wamachinga kwa bei ya Ulanguzi. Mkuu hata paka ni Mnyama mpole sana lakini ukimuweka kwenye kona atakurarua tu.
Unapozungumzia viongozi, na hasa katika halmashauri, ni kuanzia ngazi ya Udiwani. Leo diwani anaitwa mheshimiwa. Hapa tayali amejiweka mbali sana na wananchi wake, hivyo ni rahisi sana kufanya ufisadi wa namna hiyo.
Njia kubwa na rahisi kufanya hivyo inatokana na nafasi yake katika halmashauri, pamoja na kushirikiana na viongozi wa Wamachinga. Kwa hili nakubaliana nawe, hata hivyo hatua zozote za halmashauri kwa wakaazi wake huendana na utoaji wa notice. Hii umfanya mfanyabiashara huyo kujua kuwa hatakiwi kuwepo eneo husika. Kinachoonekana hapa ni ufanyaji biashara holela, na usipodhibitiwa unaweza kuwa na madhara makubwa kama tunayoyaona leo kutokana na ujenzi holela katika miji yote ya Tanzania.
......nchi imechoka, watawala wetu wamechoka, wateule hawa, wateule wa bwana mkubwa, hawawezi tena kufikiri, wanatoa majibu mepesi, tusiwalaumu sana, pengine ni majibu ambayo bwana mkubwa anapenda kuyasikia. Hawamsaidii Rais wetu, wanafikiri ili washibe tu; Rais wangu Kikwete (hata kama sikukupigia kura), vijana hawa wamechoka, wamepoteza matumaini ya maisha bora, hawana uhakika wa kula, wengi wao hawawezi hata kujiajiri, inapotokea fujo kama hizi, wanashangilia wanabaka mali za wananchi wenzao, hivyo wanatumika na adui hawa, maisha magumu na kukosa matumaini ya kuishi , cdm hawana mkono hapa, kama hoja hii ipo ni ya kishabiki tu, haina mantiki, Ritz, Ngongo, Twahil (kwa uchache), tuache ushabiki, tutangulize uzalendo, tumsaidie Rais wetu.Akiongea na waandishi wa habari mkurugenzi huyo amedai wafanyabiashara wanatumika tu kuna watu wapo nyuma ya hayo maandamano na vurugu! Wakati huo huo Kandoro amewapiga mkwara wanaoleta vurugu kuwa watakutana na mkono wa sheria.Watu zaidi ya 200 wamekamatwa huku watu 12 wakiwa wamejeruhiwa watano wakiwa wamejeruhiwa kwa risasi,Polisi wawili wamejeruhiwa pia!
unajua hawa watu wanadhani watz bado wajinga..subirini tu vijiti alivosokomezwa gadafi mtavishuhudia sasa hivi
Ukisema hivyo ina maana Madiwani wote wa Halmashauri ya Mbeya mjini pamoja na Mbunge wao ni chokonoko (sijui una maana gani hapo). Kumbuka Mkurugenzi ni mtekelezaji wa maamuzi ya Madiwani.Huyu mkurugenzi atakuwa chokonoko