Mkurugenzi Mbeya: Wafanyabiashara wanatumika tu!

Nadhani nawe umefikia mwisho wako wa kufikiria au nawe pia ni sehemu ya mfumo kandamizi. Hakuna sehemu CDM waliwahi kusema manahitaji kumwondoa KIKWETE madarakani na wanatambua kuwa yeye ni Rais. Kinachojitokeza ni uvivu wa kufikiria wa viongozi wetu na kushindwa kutatua matatizo ya wananchi, ndiyo maana kiongozi mmoja mkubwa sana aliwahi kusema hajui matatizo ya watanzania yanatokana na nini na bado yuko pale pale akiendelea kutumaini atawasaidia watanzania kuondokana na shida zao ambazo hajui chanzo chake ni nini!!!!. Tuache unafiki wa kudhani kila demonstrations zina wanasiasa nyuma yake, tushughulikie matatizo ya watanzania, vinginevyo huu ni mwanzo tu, tutegemee vurugu nyingi zaidi na zaidi!!!!!.
 
Polisi waendelee kutoa kipigo kikali na kuwakamata wale wote wanaofanya vurugu.nchi hii hatuwezi kuona inavurugwa na wanasiasa kwa uroho wao wa madaraka.Rais ni KIKWETE CDM wanapaswa kufaham hilo waache kuratibu vurugu hapa nchini za kumuondoa J.K madarakani.
Nadhani nawe umefikia mwisho wako wa kufikiria au nawe pia ni sehemu ya mfumo kandamizi. Hakuna sehemu CDM waliwahi kusema manahitaji kumwondoa KIKWETE madarakani na wanatambua kuwa yeye ni Rais. Kinachojitokeza ni uvivu wa kufikiria wa viongozi wetu na kushindwa kutatua matatizo ya wananchi, ndiyo maana kiongozi mmoja mkubwa sana aliwahi kusema hajui matatizo ya watanzania yanatokana na nini na bado yuko pale pale akiendelea kutumaini atawasaidia watanzania kuondokana na shida zao ambazo hajui chanzo chake ni nini!!!!. Tuache unafiki wa kudhani kila demonstrations zina wanasiasa nyuma yake, tushughulikie matatizo ya watanzania, vinginevyo huu ni mwanzo tu, tutegemee vurugu nyingi zaidi na zaidi!!!!!.
 
Akiongea na waandishi wa habari mkurugenzi huyo amedai wafanyabiashara wanatumika tu kuna watu wapo nyuma ya hayo maandamano na vurugu! Wakati huo huo Kandoro amewapiga mkwara wanaoleta vurugu kuwa watakutana na mkono wa sheria.Watu zaidi ya 200 wamekamatwa huku watu 12 wakiwa wamejeruhiwa watano wakiwa wamejeruhiwa kwa risasi,Polisi wawili wamejeruhiwa pia!

Huyu mkurushenzi anaishi miaka ya 47, anadhani kuwa watu bado ni mbumbumbu hawajui haki zao mpaka mwansiasa awambie. Hayo ni matusi. Hivi kama serikali inakunyang'anya bidhaa zako kwa kisingizio cha utawala bora utahitaji kweli mwanasiasa ili uandamane kuadai haki yako. Kama kweli CDM wametumika nawapa big up kwa vile wanawafanya watawala kama huyo mkurushenzi kuzinduka usingizini na kutambua kwamba huwezi kukandamiza watu milele.
 
smoky!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


chadema unscrupulous politicians are conspiring with bandits to launch violent demonstrations in order to confront the ruling party from implementing its election manifesto. We have recently witnessed a series of manipulated rallies and demonstrations which are deliberately engineered for the purpose of making it difficult for the government to execute its development duties. As a result the government is now unnecessarily forced to relocate its budget funds and commit them to expenses incurred by security forces while dealing with chadema violent protesters which in turn will have a disastrous effect to the country's economy wellbeing. As far as i can see, i still believe that chadema leaders are capable of helping our government to build our country's future and can do better than choreographing needless rallies and demonstrations which are of no help to an average citizen.
 
Tatizo la viongozi wetu hawapendi kushughulisha akili zao, kila siku wanatafuta majibu rahisi kwa maswali magumu. Kama mgurugenzi angewajibika vizuri akawapatia hao machinga sehemu nzuri ya kufanyia biashara hizo vurugu zingetokea? Tatizo watu hawatekeleza wajibu wao mambo yakiharibika hawataki kuwajibika wanatafuta visingizio. Namshauri huyo mgurugenzi aachie ngazi kwani hapo tayari ameonyesha kushindwa kazi. Viongozi wa TZ muwe mnakubali kuwajibika pale mnapochemsha!!!!
 
Huyu mkurushenzi anaishi miaka ya 47, anadhani kuwa watu bado ni mbumbumbu hawajui haki zao mpaka mwansiasa awambie. Hayo ni matusi. Hivi kama serikali inakunyang'anya bidhaa zako kwa kisingizio cha utawala bora utahitaji kweli mwanasiasa ili uandamane kuadai haki yako. Kama kweli CDM wametumika nawapa big up kwa vile wanawafanya watawala kama huyo mkurushenzi kuzinduka usingizini na kutambua kwamba huwezi kukandamiza watu milele.
i like it
 
CHADEMA unscrupulous politicians are conspiring with bandits to launch violent demonstrations in order to confront the ruling party from implementing its election manifesto. We have recently witnessed a series of manipulated rallies and demonstrations which are deliberately engineered for the purpose of making it difficult for the government to execute its development duties. As a result the government is now unnecessarily forced to relocate its budget funds and commit them to expenses incurred by security forces while dealing with CHADEMA violent protesters which in turn will have a disastrous effect to the country's economy wellbeing. As far as I can see, I still believe that CHADEMA leaders are capable of helping our government to build our country's future and can do better than choreographing needless rallies and demonstrations which are of no help to an average citizen.


If Nape said confidently that there is a group of ccm member who are conspiring against JK couldnt we conclude beyond reasonable doubt that it is the said group at work as well? You better be objective other than coming up with dubious illusions. CDM has nothing to do with all these. People are demanding improved livelihood through their Machinga livelihood strategy and nothing else. The government is asleep on its peoples wellfare as the result the people are awakening from its stupidity slumber
 
Polisi waendelee kutoa kipigo kikali na kuwakamata wale wote wanaofanya vurugu.nchi hii hatuwezi kuona inavurugwa na wanasiasa kwa uroho wao wa madaraka.Rais ni KIKWETE CDM wanapaswa kufaham hilo waache kuratibu vurugu hapa nchini za kumuondoa J.K madarakani.
chadema haitaweza kumwondoa kikwete madarakani, Chadema ina wanachama milioni kadhaa tu kati ya watanzania milioni arobaini na...ila KIKWETE ataondolewa kwa Nguvu Ya UMMA. Namuombea kwa mungu aondolewe lakini wasimfanyie kama Gadaffi(kijiti).
 
Mkuu na Mbeya nako ni Chadema ? Mbona sijaona husiano ? Watu wamesha amka wanataka haki au na wao ni wachaga maana kila siku wakisimama watu na kudai haki mnasema ni wachaga sasa ni vipi huko?

Kama we ni GT.Jiulize kwa nini vurugu zinatokea ktk majimbo yanayoongozwa na CDM tu?.Mwz, Mbeya na Arusha.ina maana Bukuba,rukwa,same,kigoma n.k hawana matatizo?.Matatizo yapo na ndio maana tunachagua viongozi wayatatue kwa kushirikiana na wabungu na madiwani.Ninaloliona ni kwa wanasiasa kuwa-provoke wananchi kwa kutumia matatizo yao, kama ya wamachinga, kupandikiza chuki dhidi ya serikali yao.Mnaweza mkafaulu kwani kwa trend ninayoiona na nia ya viongozi wenu wakuu na kauli zao kama za pale Arusha za tunakesha siku 7 ,mpaka kieleweke, tutaandamana nchi nzima bila kikomo(sijui lengo la nyuma ya pazia ni nini?jibu unalo), mnaweza mkatake advantage ya uchumi kudorora hapa nchini(si tz pekee) mkafaulu kuing'oa gvt kabla ya 2015 au baada ya uchaguzi.LAKINI hamtakuja kutawala salama .Achen kutumia matukio kujipatia umaarufu bali jengeni HOJA na SERA madhubuti watz watawaunga mkono.Kwa mfano CDM mmekuja na mpango mkakati upi wa dharura wa kuokoa uchumi kiasi kwamba watz wakiuona waseme naam kweli chama hiki ndio mbadala na sio suluhu ni maandamano na vurugu?.Mpango wenu wa dharura ni kutoilipa DOWANS?
 
Ngoja nikwambie! Kandoro anawakilisha CDM so baada ya CDM kumwambia awahamishe wale walala hoi pale akaenda kuwahamisha. Walala hoi wakastrike! So kwa kupitia inteljensia wakagundua kuwa nyuma ya hawa machinga kuna CDM na soon watagundua kuwa Kandoro ni mmoja wa walioanzisha hizo vurugu.
Mmh! hapa sasa lugha gongana
 
4star.gif
ThumbsUp.gif
ThumbsDwn.gif
“You may fool all the people some of the time, you can even fool some of the people all of the time, but you cannot fool all of the people all the time.” Abraham Lincoln

Copy pia kwa the Reggae Music Legendary Bob Marley.Wasio jua maana awaambiwi maana.Wajinga na wapumbavu kama Mkuregenzi huyo ndio wanaochangia kutufiksha kwenye upuuzi wa ghadhabu kama hizi za wanambeya.
 
Kuna kitu kinajulikana kama Urban renewal kinafaa kufanyika ili kuepusha hali hii kwani kitajadili vizuru kugawa maeneo yanayoendana na wamachinga pamoja na biashara zao au kuamgalia namna ya kushughulika na matatizo yanayosababishwa na wamachinga siyo kukurupuka kutoa kauli zisizo na plan b wala c!
 
Mkugenzi anasema hivi akiambiwa athibitishe anaweza?????au tumwite Cameroon???
 
Timbilimu,huo ndio utaratibu wa uendeshaji wa Halmashauri

Usiongelee kuhusu nadharia ambazo hazifuatwi na zaidi halimashauri/mji/jiji kama inaongozwa na mbunge ama meya wa upinzani. Watawala wanafanya hivyo makusudi kumkomoa mbunge na wananchi. Ni siasa za kizamani sana.
 
Huyu mkuu Wa mkoa nae anatumika vilevile na magamba ndio maana anadhani kila mtu ni mtumikaji Kama yeye.
Na Nina wasiwasi utumikaji wake ni wa ki-Masaburi zaidi wenye uelekeo wa ki-Cameroun.
 
siku hizi haka kamsemo kanahit wanafunzi wakiandamana kudai mikopo wanatumika wamachinga wakiandama (baada ya kutolewa kwenye maeneo yao na kopellekwa pasipokuwa na wateja na miundombinu mizuri) wanatumika. enyi wasiasa tumechoka na longolongo zenu
 
Mkurugenzi hana busara za kutosha. Watu wengi hawafikirii kwa akili zao. Wengi wanatumia matumbo yao kufikiri
 
Tatizo Mh.Kandoro alifikiri wamachinga wa Mbeya ni Walaini kama wale wa Dar!
Ajifunze kwa ni Sisi twaweza!
Hakuna mtu anayetumiwa wakati anadai haki yake!Mkurugenzi katu asijinasue na Tukio hili kwa vyovyote kachangia!
 
Back
Top Bottom