hawana lolote gamba ni gamba tu lazima wangolewe
Ewe mungu muumba mbingu na vyote vilivyomo nakuomba uwape laana na adhabu kari wale wote waliomchagua bw.kikwete kuwa raisi wa nchi hii,na wenye ushirika naye,amepoteza sifa ya kuwa rais kwa kukiuka kiapo chake,aliapa akiwa ameshika quran takatifu ya kwamba atakuwa mwaminifu kwa umma huu,ya kwamba atatenda haki na daima kwa watz wote bila kujari rangi,kabira,chama wala dini ya mtu,aliapa ya kwamba atailinda na kuitetea katiba ya nchi na mwisho akaomba mungu nisaidie,naamini hakuna mungu wa haki atakaye mlinda ama kumsaidia mwongo,mwuuaji,mnafki na mwenye dhuruma kiasi hiki.