Kibogoyio2020
Senior Member
- May 4, 2018
- 154
- 77
Kwa hali ya kusikitisha mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru amekula posho za walimu wakuu na waratibu elimu kata kuanzia April 2018.kwa hali ilivyo walimu wamekata tamaa na wameamua kuweka mgomo baridi.
Jf imejaribu kufuatilia suala hilo ikagundua afisaelimu msingi wa meru ni shida na amezoea kula fedha za walimu hata huko arusha DC alitoka kwakashifa ya wizi wa fedha.
Jf imejaribu kufuatilia suala hilo ikagundua afisaelimu msingi wa meru ni shida na amezoea kula fedha za walimu hata huko arusha DC alitoka kwakashifa ya wizi wa fedha.