Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dkt Maulid Madeni ameeleza utendaji uliotukuka kwa aliyekuwa Meya wa jiji hilo ,Kalist Lazaro ambaye hivi karibuni ametangaza kukihama chama chake cha Chadema na kupoteza wadhifa huo.
Akiongea kwa Masikitiko na machungu Makubwa wakati Kalisti akikabidhi ofisi kwa mkurugenzi hiyo,Dkt Madeni amemwelezea kalist kama kiongozi asiyekuwa na makuu na kwamba halmashauri imepoteza mtu Makini kwa uchapakazi.
Amesema Kalist alikuwa mku makini mwenye ushirikiano na viongozi wenzake bila kujali itikadi ya siasa na alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha jiji la Arusha linatekeleza miradi yake kwa kiwango cha juu.
Akiongea kwa Masikitiko na machungu Makubwa wakati Kalisti akikabidhi ofisi kwa mkurugenzi hiyo,Dkt Madeni amemwelezea kalist kama kiongozi asiyekuwa na makuu na kwamba halmashauri imepoteza mtu Makini kwa uchapakazi.
Amesema Kalist alikuwa mku makini mwenye ushirikiano na viongozi wenzake bila kujali itikadi ya siasa na alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha jiji la Arusha linatekeleza miradi yake kwa kiwango cha juu.