MERU: Mkurugenzi afunga ukumbi wa Halmashauri bila taarifa yoyote ya kuahirisha kikao

siyoi koroi

Senior Member
Sep 6, 2016
177
214
Ni jambo la kusikitisha sana kwa mteule huyu wa Rais kufunga ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya meru.

Leo tarehe 20 february 2017 ilikuwa ni siku ya kikao cha kawaida cha baraza la halmashauri la madiwani wa halmashauri ya meru kikao cha pili baada ya kikao cha kwanza kufanyika tarehe 17 february siku ya ijumaa iliyopita. Kwa mshangao mkubwa baada ya madiwani kufika na wahudumu kuweka majoho tayari ukumbini mkurugenzi aliamuru majoho yaondolewe na ukumbi ufungwe bila Diwani yeyote kupewa taarifa ya kuahirisha kikao.

Huu ni muendelezo wa mambo ya ajabu yanayofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya meru katika kuvunja kanuni za uendeshaji wa halmashauri. Naambatanisha picha na barua ya wito wa kikao cha leo.

1487579094834.jpg
1487579120331.jpg
1487579132606.jpg


Hapa madiwani wamefika ukumbini wakakuta ukumbi umefungwa bila taarifa.
 
Ni jambo la kusikitisha sana kwa mteule huyu wa Rais kufunga ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya meru.

Leo tarehe 20 february 2017 ilikuwa ni siku ya kikao cha kawaida cha baraza la halmashauri la madiwani wa halmashauri ya meru kikao cha pili baada ya kikao cha kwanza kufanyika tarehe 17 february siku ya ijumaa iliyopita. Kwa mshangao mkubwa baada ya madiwani kufika na wahudumu kuweka majoho tayari ukumbini mkurugenzi aliamuru majoho yaondolewe na ukumbi ufungwe bila Diwani yeyote kupewa taarifa ya kuahirisha kikao.

Huu ni muendelezo wa mambo ya ajabu yanayofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya meru katika kuvunja kanuni za uendeshaji wa halmashauri. Naambatanisha picha na barua ya wito wa kikao cha leo.

View attachment 472249View attachment 472253View attachment 472254

Hapa madiwani wamefika ukumbini wakakuta ukumbi umefungwa bila taarifa.
Lakini mfalme alimfanyia upembuzi akamuona anafaha
 
Hivi huyu Mkurugenzi ana ulinzi? Maana nshasoma habari zake za ajabu ajabu humu Mara kibao. Wameru zile hasira zenu zimeenda wapi sikuhiz??

Nkorieni numba..mukammaa ito venji fiu vakuloshaa
 
Kuna wakati inabidi uongee kwa vitendo.nadhani ni muda muafaka wakuongea kwa vitendo maana kwa maneno wanaonyesha hawataki kusikia.
 
Ni jambo la kusikitisha sana kwa mteule huyu wa Rais kufunga ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya meru.

Leo tarehe 20 february 2017 ilikuwa ni siku ya kikao cha kawaida cha baraza la halmashauri la madiwani wa halmashauri ya meru kikao cha pili baada ya kikao cha kwanza kufanyika tarehe 17 february siku ya ijumaa iliyopita. Kwa mshangao mkubwa baada ya madiwani kufika na wahudumu kuweka majoho tayari ukumbini mkurugenzi aliamuru majoho yaondolewe na ukumbi ufungwe bila Diwani yeyote kupewa taarifa ya kuahirisha kikao.

Huu ni muendelezo wa mambo ya ajabu yanayofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya meru katika kuvunja kanuni za uendeshaji wa halmashauri. Naambatanisha picha na barua ya wito wa kikao cha leo.

View attachment 472249View attachment 472253View attachment 472254

Hapa madiwani wamefika ukumbini wakakuta ukumbi umefungwa bila taarifa.
serikali yetu badala ya kutumia mda wake kutupigania kuleta maendeleo nchin
yenyewe iko busy inapigana na vyama vya upinzani
 
Back
Top Bottom